Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wakuu kwema... Labda wenye ujuzi wa mambo ningependa mnijuze hivi kwanini watu wanaiba hii mikate?? Mikate hii inaweza kupatikana madukani mtu ukanunua na kufanyia mambo yako hata kama ni kunywea...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Bora niweke focus kuongeza competence kwenye career yangu. Forex unapiga hatua tatu mbele kisha nne nyuma. Sio discipline wala strategy kitakachokuokoa.
6 Reactions
20 Replies
248 Views
Tafadhali sana Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), tunawaomba angalau mtupunguzie mojawapo ya kero nyingi sana katika nchi hii, kwamba unapopiga namba yeyote ya Customer Service...
4 Reactions
9 Replies
102 Views
Miaka michache ijayo sijui kama kutakuwa na wanaume hapa Dar! Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana, ushoga umekuwa ni jambo la kawaida hapa Dar. Sidhani kama kuna mtaa Dar...
82 Reactions
7K Replies
556K Views
Ndugu zangu wa JamiiForums, amani iwe kwenu. Leo nimeona niwaletee mada hii kwa ajili ya tafakari ya kina kuhusu sifa ambazo wanadamu wanampa Mungu. Katika maisha ya kila siku, tunajua kuwa sifa...
4 Reactions
26 Replies
151 Views
Habari ndugu zangu? Issue iko hivi, dogo yupo kidato cha nne, anasoma shule ya sekondari IGANZO, ipo mkoa wa Mbeya. Mwezi wa sita mwaka huu walifunga shule, lakini kwakuwa yupo kidato cha nne...
6 Reactions
46 Replies
503 Views
Wakuu, leo nimeamua kuandika haya kutoka moyoni. Kwa sasa sina kazi ya kudumu. Maisha yanaendelea, mahitaji yapo, lakini wakati mwingine unajiuliza: kesho nitafanya nini ili maisha yaendelee...
12 Reactions
25 Replies
348 Views
Wakuu! Hivi hawa wanao sajili laini ukimkamata amesajili laini zaidi unamfanyaje wakuu? Yani nimesajili laini kwa wakala, halafu nacheki kwenye system baada ya kupiga *106# kucheki namba...
3 Reactions
24 Replies
231 Views
Kutoa matusi hadharani ni kosa la jinai kwa mujibu wa Sheria za Nchi. Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 ya Sheria za Nchi imeweka makosa ya aina tatu yanayohusu utoaji wa matusi ambayo...
1 Reactions
21 Replies
24K Views
Haijalishi ni baba yako hata yeye hukusoea sana kwa bahati mbaya afrika baba hakosei, mama ndio anJulikana anaharibu watoto, ndugu ndio watoa miongozo na nongwa, etc Utaishia kuwa na stuck...
6 Reactions
18 Replies
132 Views
Kama inavyosemakana binadamu alivyoumbwa ametokana na wanyama tena ikaonyeshwa kama nyani nadhani kwwnye uumbajiMungu alisahau baadhi ya vitu. Ukiangalia nyani miguu yote ina vodole ambavyo...
1 Reactions
25 Replies
326 Views
Serikali ya Taliban nchini Afghanistan imezialika kampuni za Marekani kuwekeza katika rasilimali kubwa za madini za nchi hiyo, huku ikitaka Marekani kupunguza vikwazo vya kiuchumi na kuachilia...
2 Reactions
20 Replies
226 Views
Mwili wa kijana anayefahamika kwa jina la Aron Enock Urio, aliyekuwa akiendesha bodaboda eneo la Tengeru Kwa Fundi, umeokotwa katika shamba lililopo Kitongoji cha Madira, Kijiji cha Singisi, Kata...
2 Reactions
6 Replies
111 Views
Wakati huu ukiwa nyumbani, sikiliza MAELEZO PODCASTS upate elimu na ufafanuzi juu ya uwepo wa mvua kubwa za El Niño na tahadhari za kuchukua🎙️ 🎙️ Spotify: open.spotify.com/episode/0gcaIl… 🎙️...
0 Reactions
1 Replies
58 Views
Kuna dada mmoja mitandao kalalamika kuibiwa pesa zake kwenye account za CRDB .Baada ya kupost aisee comment zilizokuwepo hapo. Unaweza kuogopa kuweka pesa CRDB.
4 Reactions
27 Replies
842 Views
Katika moja ya matamanio ya wana dunia wengi ni kupata mafanikio makubwa katika upande wa kifedha, hivo husababisha watu kujaribu kutumia njia nyingi sana ili kuongeza nafasi zao za kufikia...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
Nilieleza jinsi ambavyo shetani ni roho hutafuta watendea kazi wenye mwili. Kumuangamiza mtu kirahisi humtumia ndugu wa nyumbani mwake. Na Mungu ni hivo hivo, huwalinda na kuwatumia wateule wake...
2 Reactions
15 Replies
79 Views
It's time to be the big brother.. Poleni sana kwa wale wote nilio wakwaza... Kuna watu mpaka wameniweka ignore list kisa majibizano ya hapa na pale.. Binafsi ni mtu ninayependa sana battle, ila...
6 Reactions
52 Replies
322 Views
Taharuki imeibuka katika Shule ya Msingi Makota, Kata ya Masaka, Wilaya ya Iringa Vijijini, baada ya wanafunzi 13 wa Darasa la Saba kudaiwa kupigwa wakati wa maandalizi ya mtihani, huku baadhi yao...
5 Reactions
44 Replies
292 Views
Kufuata utaratibu ni ngumu. Mfano stendi ni magufuli watu wanapaki shekilango! Na mambo mengine mengi.
0 Reactions
4 Replies
50 Views
Back
Top Bottom