Wakuu kwema...
Labda wenye ujuzi wa mambo ningependa mnijuze hivi kwanini watu wanaiba hii mikate?? Mikate hii inaweza kupatikana madukani mtu ukanunua na kufanyia mambo yako hata kama ni kunywea...
Bora niweke focus kuongeza competence kwenye career yangu.
Forex unapiga hatua tatu mbele kisha nne nyuma. Sio discipline wala strategy kitakachokuokoa.
Tafadhali sana Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), tunawaomba angalau mtupunguzie mojawapo ya kero nyingi sana katika nchi hii, kwamba unapopiga namba yeyote ya Customer Service...
Miaka michache ijayo sijui kama kutakuwa na wanaume hapa Dar! Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana, ushoga umekuwa ni jambo la kawaida hapa Dar.
Sidhani kama kuna mtaa Dar...
Ndugu zangu wa JamiiForums, amani iwe kwenu.
Leo nimeona niwaletee mada hii kwa ajili ya tafakari ya kina kuhusu sifa ambazo wanadamu wanampa Mungu. Katika maisha ya kila siku, tunajua kuwa sifa...
Habari ndugu zangu?
Issue iko hivi, dogo yupo kidato cha nne, anasoma shule ya sekondari IGANZO, ipo mkoa wa Mbeya.
Mwezi wa sita mwaka huu walifunga shule, lakini kwakuwa yupo kidato cha nne...
Wakuu, leo nimeamua kuandika haya kutoka moyoni.
Kwa sasa sina kazi ya kudumu. Maisha yanaendelea, mahitaji yapo, lakini wakati mwingine unajiuliza: kesho nitafanya nini ili maisha yaendelee...
Wakuu!
Hivi hawa wanao sajili laini ukimkamata amesajili laini zaidi unamfanyaje wakuu?
Yani nimesajili laini kwa wakala, halafu nacheki kwenye system baada ya kupiga *106# kucheki namba...
Kutoa matusi hadharani ni kosa la jinai kwa mujibu wa Sheria za Nchi. Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 ya Sheria za Nchi imeweka makosa ya aina tatu yanayohusu utoaji wa matusi ambayo...
Haijalishi ni baba yako hata yeye hukusoea sana kwa bahati mbaya afrika baba hakosei, mama ndio anJulikana anaharibu watoto, ndugu ndio watoa miongozo na nongwa, etc
Utaishia kuwa na stuck...
Kama inavyosemakana binadamu alivyoumbwa ametokana na wanyama tena ikaonyeshwa kama nyani nadhani kwwnye uumbajiMungu alisahau baadhi ya vitu.
Ukiangalia nyani miguu yote ina vodole ambavyo...
Serikali ya Taliban nchini Afghanistan imezialika kampuni za Marekani kuwekeza katika rasilimali kubwa za madini za nchi hiyo, huku ikitaka Marekani kupunguza vikwazo vya kiuchumi na kuachilia...
Mwili wa kijana anayefahamika kwa jina la Aron Enock Urio, aliyekuwa akiendesha bodaboda eneo la Tengeru Kwa Fundi, umeokotwa katika shamba lililopo Kitongoji cha Madira, Kijiji cha Singisi, Kata...
Wakati huu ukiwa nyumbani, sikiliza MAELEZO PODCASTS upate elimu na ufafanuzi juu ya uwepo wa mvua kubwa za El Niño na tahadhari za kuchukua🎙️
🎙️ Spotify: open.spotify.com/episode/0gcaIl…
🎙️...
Kuna dada mmoja mitandao kalalamika kuibiwa pesa zake kwenye account za CRDB .Baada ya kupost aisee comment zilizokuwepo hapo.
Unaweza kuogopa kuweka pesa CRDB.
Katika moja ya matamanio ya wana dunia wengi ni kupata mafanikio makubwa katika upande wa kifedha, hivo husababisha watu kujaribu kutumia njia nyingi sana ili kuongeza nafasi zao za kufikia...
Nilieleza jinsi ambavyo shetani ni roho hutafuta watendea kazi wenye mwili.
Kumuangamiza mtu kirahisi humtumia ndugu wa nyumbani mwake.
Na Mungu ni hivo hivo, huwalinda na kuwatumia wateule wake...
It's time to be the big brother..
Poleni sana kwa wale wote nilio wakwaza... Kuna watu mpaka wameniweka ignore list kisa majibizano ya hapa na pale..
Binafsi ni mtu ninayependa sana battle, ila...
Taharuki imeibuka katika Shule ya Msingi Makota, Kata ya Masaka, Wilaya ya Iringa Vijijini, baada ya wanafunzi 13 wa Darasa la Saba kudaiwa kupigwa wakati wa maandalizi ya mtihani, huku baadhi yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.