Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wakuu habari, Nina iPhone 14 ambayo imeacha kuchaji kabisa. Nikiweka cable kwenye charging port haichaji kabisa. Nimejaribu njia zote lakini bado haichaji. Kwa wenye uzoefu na iPhone 14, tatizo...
0 Reactions
0 Replies
18 Views
Haya ni maneno ya kibao cha zamani cha muziki wa dansi "Simba Mwituni" kilichotungwa na kuimbwa na bendi ya Jamhuri Jazz, na wakati mwingine huhusishwa na bendi kama Simba Wanyika, ikielezea hofu...
1 Reactions
9 Replies
135 Views
Hakuna anaendesha maisha yako Kimazinga ombwe Hakuna anaeamua ni kiasi gani upate na kiasi gani ukose Hakuna faraja ya kimazingara au muujiza kwa anaenyanyaswa Hakuna adhabu ya kimazingaraa...
3 Reactions
15 Replies
96 Views
https://www.youtube.com/live/XCDPRo8_24s?si=IW7oNMtLDpnRMsbH LIVE: Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba Leo September 03,2026 ni Mgeni Rasmi ufunguzi wa Kongamano la Tano la Kitaifa Ushiriki wa...
1 Reactions
0 Replies
17 Views
Yani elewa kabisa dunia hii ina watu mashuhuri wengi ambao kazi yao ni kula watu wengine. Shetani anatoa utajiri na Nguvu, Ukimfata ufanye nae mkataba anakupa Pesa, wewe unatoa ndugu na jamaa...
7 Reactions
46 Replies
540 Views
Mi kazi yangu hapa ni kushusha comment kutoka kwa wadau JICHO LANGU GEREZANI “ Simulizi hii ni Ya kweli kabisa hamna mahali nitaongeza chumvi ili kunogesha stori kila ninachokiandika hapa MUNGU...
4 Reactions
31 Replies
576 Views
hivi kwa nini viongozi wa afrika huwa hawapigi picha kama hizi? afrika sub-saharan tuko peke yetu dunia hii kwenye mambo mengi sana, tujaribu kuiga angalau wenzetu rest of world wanavyofanya...
2 Reactions
4 Replies
124 Views
Mabadiliko ya viwango vya kubadilisha fedha tarehe 2 Septemba 2026 yanaonesha kuimarika kidogo kwa Shilingi ya Tanzania (TZS) dhidi ya Dola ya Marekani (USD) na Rand ya Afrika Kusini (ZAR)...
1 Reactions
2 Replies
92 Views
2-8-2026 mafuta ya Diesel na Pertol yameshuka zaidi, LATRA simameni na Mheshimiwa rais na wanyonge, shusheni nauli mfumukom wa bei uondoke. Nauli zilipandishwa kwenye Marekebisho yalitangazwa...
5 Reactions
17 Replies
299 Views
FREEDOM is not only about Freedom of Speech and Freedom of Movement but also Freedom to access individual life and emotional freedom in Love. Freedom of choice whether is good or bad. Every one...
0 Reactions
6 Replies
47 Views
MOROGORO, Septemba 2, 2026 — Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeandika historia katika sekta ya utalii baada ya kutwaa tuzo mbili za kimataifa za World Travel Awards 2026...
0 Reactions
0 Replies
36 Views
Habari Mkoa wa Dar es salaam, Wilaya ya Ilala, eneo linaitwa Majohe maduka sita ukiwa Gongo la mboto unapitia njia ya chuo cha Kampala kama unaenda chuorada kuna kituo kinaitwa maduka sita kua...
2 Reactions
3 Replies
67 Views
Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Abel Charles, Mkazi wa Mtaa wa Mambi, Kata ya Mafisa, Manispaa ya Morogoro amefariki dunia baada ya kudaiwa kushambuliwa kwa panga na Mke wake wakati wakiwa...
6 Reactions
58 Replies
987 Views
Tumeshuhudia maelfu ya Watanganyika wakimiminiwa risasi na kuuawa, miili yao haijulikani ilipo. Vijana wasio na silaha kama Humphrey Polepole ametekwa na haijulikani yu wapi. Watu kuzuiliwa...
3 Reactions
6 Replies
135 Views
Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha sekta ya elimu kwa kuongeza miaka ya elimu ya lazima, kupanua fursa za elimu ya sekondari na kuimarisha mafunzo ya ufundi ili kuwapa vijana uwezo...
1 Reactions
0 Replies
30 Views
Mf neno hii mahakama si ya mama yako na wewe unaweza mjibu kua hata wewe mahakama hii sio ya mama yako wala baba yako
6 Reactions
14 Replies
421 Views
Watanganyika tusikubali kutolewa kwenye reli hata kwa dk 1 hawa, watu wanatunyonya wanatengenezea vizazi vyao viwe na future nzuri. Angalieni mazingaombwe tunaletewa mara mtoto wa Hamisa mara...
0 Reactions
1 Replies
22 Views
haya mambo jamani kuna atakaejenga hawa watu wanafharau serikali ama mbona hivi wamepandisha bei tu.epiga kelele wameanza kudai mzigo haupo aisee mnatupeleka wapi jamani angalieni wenye nyumba...
4 Reactions
5 Replies
76 Views
Back
Top Bottom