Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mwili wa mtu mmoja mwanaume ambaye hajafahamika jina umekutwa unaning'inia kwenye mti eneo la Makangarawe Yombo Dovya jijini DSM akidaiwa kujinyonga. Polisi wamechukua mwili huo kwa ajili ya...
1 Reactions
3 Replies
127 Views
Matokeo ya hivi karibuni kutoka kliniki binafsi na za umma zinazotoa huduma za uchunguzi wa DNA kote nchini Malawi yanaonyesha kuwa takribani asilimia 80 ya wanaume wanaojitolea kufanya vipimo vya...
3 Reactions
25 Replies
221 Views
Tanzania imepewa mkopo wa billion 459 kutoka Korea kusini fedha hizo zitatumia kwenye ujenzi wa chuo cha AI and digital technology Mimi najua hizo ela wamekopa za kuwalipa majaji wa mchongo kila...
2 Reactions
12 Replies
69 Views
Mimi ni zero brain, sina ninachokijua lakini najaribu kuwaza, Rais ni tasisi kwa ufaham wangu Haya maswali siku nikipata majibu nitakula nyama kilo Moja 1. Aliyeshauri Dr Nchimbi awe makamu wa...
2 Reactions
1 Replies
56 Views
ANAANDIKA BICHWA KOMWE 👌 Katika hii jamhuri yetu, na hata kwingine kokote nje ya Tanganyika, ni ukweli ulio wazi kwamba, kupata mtoto ni rahisi sana kuliko kupata ajira ya Tamisemi. Watu wengi...
17 Reactions
173 Replies
1K Views
Anonymous
Mimi ni mkazi wa Chalinze, Mtaa wa Nero, Darful. Tunaendelea kukabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maji mara kwa mara. Wakati mwingine tunakaa hadi mwezi mzima bila kupata maji. Hadi...
0 Reactions
0 Replies
26 Views
Wakuu natoka msibani kwa mjomba wangu muda huu Mjomba alikua mfanyabiashara alikua na upepo wa biashara ogopa, Alikua akija kununua mzigo hadi yeye amalize ndo wengine wenye mitaji midogo midogo...
5 Reactions
10 Replies
189 Views
Huu ndio moja ya uvumbuzi wa hovyo na hatari kuwahi kufanywa duniani nayo ni AI Kiswahili wanaita sijui akili mnemba sijui unde sijui. Ila AI ni moja ya vumbuzi mbaya na hatari kuwahi kufikiri na...
21 Reactions
78 Replies
950 Views
Katika kuangalia hali ya kisiasa inavyo kwenda sasa, kuna kitu kimoja ambacho wabongo wengi kama hatukioni ila ndo msingi mama wa haya yote na ndo maana hii nchi tumeshikwa kama mburula. Ni kuwa...
3 Reactions
17 Replies
125 Views
Mantiki ya swali langu inalengo la kufahamu, je, Ekaristi ni kitu ‘Spiritual’ au ni kitu ‘physical’? Meaning, mtu anaweza kupokea Ekaristi bila kula kile kioande cha mkate? Spiritually tu kwa...
3 Reactions
115 Replies
6K Views
Jana nilihudhuria kanisa moja Wakaja wamama watatu na mzee mmoja Wakanza kuelezea mambo ya dawa zao nk Walipomaliza kuna mamaamoja akasema zinaponya na ukimwi na cancer Kabla ajamaliza...
1 Reactions
12 Replies
156 Views
Tafadhali husika na kichwa cha uzi huu. NSSF Wamekuja na mbinu mpya zifuatazo ili kuhakikisha wanufaika hawapati hela zao: Hawajatangaza mahali popote kwamba fao la Kujitoa limerejeshwa licha ya...
16 Reactions
79 Replies
1K Views
Ni hakika wote tunajua kuhusu utatu mtakatifu... Yaani the father, son and the holy spirit. Also hii ina direct coleration na Body, mind and soul.. Hizi ni dhana tu za kujaribu kuelezea kitu...
9 Reactions
135 Replies
776 Views
Huenda wewe ni mfanyabiashara, Mwajiriwa, Au umeniajiri, Huwa unafanya ninibunapoona gafla mambo yamebadilika? kipindi hicho unafanyeje usikate tamaa na uendelee kupambana? Mimi natumia njia...
4 Reactions
10 Replies
93 Views
Leo tuzungunzie Gonjwa la UKIMWI. Kuwa mvumilivu kusoma, pengine ukapata Dawa ya UKIMWI katika Makala yangu! Imenibidi nikimbie Hadi Google, nikafanye Utafiti wangu Juu ya Asili ya Ugonjwa Huu...
8 Reactions
31 Replies
476 Views
Anatomia ya kobe ni mfano bora kabisa wa jinsi ya kujilinda na kuishi katika mazingira ya nchi kavu: Gamba lake la juu lenye umbo la kuba na gamba la chini bapa huunda ngome isiyopenyeka...
3 Reactions
10 Replies
123 Views
Mungu alimfanya mtu? au alimuumba mtu? Embu fafanua (mwanzo 1;26
3 Reactions
37 Replies
215 Views
Siyo kila unapopita brother habari yako au kila siku unampgia mtu simu unamwambia nilikuwa nakusalimia kumbuka SALAMU YA MASKINI INACHUKULIWA KAMA OMBA OMBA
1 Reactions
4 Replies
66 Views
Binafsi nilipo kuwa chuoni nilitokewa kupendwa na mrembo.. Actually she was a genuine lover. Ni ile aina ya pisi ambazo kila nyakati ya siku lazima ikujulie hali, yaani I was engulfed in her love...
9 Reactions
42 Replies
556 Views
Back
Top Bottom