Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mapango ya chini ya ardhi yakiwa na mamilioni ya makombe ya baharini , hakuna anayejua ni nani aliyeyajenga. Shell Grotto huko Margate, Kent, Uingereza, inasimama kama moja ya siri za kushangaza...
2 Reactions
15 Replies
953 Views
Mlioko ujombani tunaomba picha, hatakuwa jambo la kiungwana msipotuonyesha picha za ugeni ukiwa mgombani. Kwanza yuko wapi, Machame, Masama, Kibosho, Old Moshi-Uru, Marangu, Mwika au Rombo...
3 Reactions
11 Replies
203 Views
Habar za siku ya nane nane,na kwa wanasimba wenzangu leo ndio Ile sikukuu yetu ya kipekee kabisa,tuwe proud kuwa wanasimba daima NGUVU MOJA. Mara nyingi sana hapa jf utasikia kauli kama Watu...
16 Reactions
160 Replies
1K Views
Mimi naamini tungepambana sana kwa pamoja kuboresha maisha yetu. Akili za mwanadamu kufikiria kuna maisha mengine baada ya haya hapa duniani kunalemaza kutoshughulika na changamoto na hali...
4 Reactions
15 Replies
117 Views
Anonymous
Wadau mnakumbuka lile andiko la kuhusu Chuo cha Sheria Tanzania (Law School of Tanzania) kulalamika kuwa uamuzi wa chuo hicho kutangaza kuwa wanafunzi wote wa Kundi la 42 pamoja na Kundi la 40...
1 Reactions
4 Replies
74 Views
Asee , nipo moshi juzi kati tu akataka kunichoma kindezi , na nikafuatiliwa . Sikujua nilifanya nini , ila huyo mpumbavu alipwe tena na agawe hizo namba nikamatwe tena kummmke.
27 Reactions
155 Replies
2K Views
We dwell here not according to our will, but according to his divine plans. Baada ya tafakuri ya kina, nimepata jawabu ya kuwa sisi ni kama matawi na yeye ndiye mti wa uzima. Binadamu tunapenda...
1 Reactions
0 Replies
33 Views
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) umepata ushindi mkubwa na kutangazwa rasmi kuwa Kiwanja Bora Zaidi cha Ndege Barani Afrika 2026 (Africa's Leading Airport) katika tuzo za...
0 Reactions
5 Replies
80 Views
Wasauzi wengi wamekulia katika mazingira ya mitaa yenye uhuni na wahuni wengi, jambo ambalo limewaathiri sana kisaikolojia. Kwao, kila kitu huanza na pesa, hata mahusiano ya kawaida ya kirafiki...
7 Reactions
40 Replies
1K Views
Habar za wikiend wanajamvi. Poleni na pirika za wiki nzima na misukosuko ya kila aina. Haijalishi umeivuka kwa namna gani lkn upaswa kumshukuru alie juu. Naandika bandiko hili kuomba ushauri wa...
3 Reactions
42 Replies
470 Views
Habari, katika siku za hivi karibuni baada ya NMB kutangaza kuwa wanafanya maboresho ya mifumo yao, nimeona malalamiko mengi kutoka kwa wateja kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii. Mimi pia...
0 Reactions
0 Replies
25 Views
Ameandika Diwani wa Kata ya Bondeni Moshi mjini Haji Fundi Haji Leo Tarehe 01/09/2026 Nimepata fursa kama sehem ya familia kumpokea na kushiriki kumuombea Dua Mh. Makamu wa RAIS leo nyumbani...
0 Reactions
4 Replies
145 Views
Habari wanajamii, Naomba msaada wenu kuhusu jambo ambalo limekuwa likinipa hofu kwa muda naenda mwaka wa pili sasa. Nimekuwa nikiota ndoto zinazojirudia mara kwa mara kuhusu nyoka wa aina tofauti...
6 Reactions
17 Replies
156 Views
Kutakua na matengenezo ya mashine, baada ya kukamilika wataijaribisha kwa kuitega na kutazama namna inavyopushi gurudumu linaloanzisha mzunguko (mwendo). Lakini mafundi (ndugu) hao mkubwa ndio...
4 Reactions
17 Replies
308 Views
Kipekee kabisa nichukue nafasi hii kuwashuru wafuatao Mungu Mwenyezi baba wa mbinguni Wazazi wangu Familia yangu Ndugu zangu, jamaa na marafiki Members wote wa Jamii Forum Uongozi mzima wa Jamii...
55 Reactions
210 Replies
14K Views
Nimepokea malalamiko kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wanaofanya kazi katika Kasulu Sugar Project, mradi wa kiwanda cha sukari unaojengwa Wilaya ya Kasulu, Mkoa wa Kigoma. Wanadai kukumbana na...
1 Reactions
1 Replies
196 Views
  • Redirect
Linaripoti gazeti la New york post(Marekani): Mshawishi maarufu wa mitandao ya kijamii anayeishi Santa Monica nchini Marekani na mwenye zaidi ya wafuasi milioni 10, anadai katika kesi mpya kwamba...
10 Reactions
Replies
Views
Acha kuogopa usiku wa manane! Muda wa hatari zaidi wa kupoteza akili, kufanya maamuzi ya hovyo, au kupishana na majini si saa saba usiku... Ni SAA SITA KAMILI ZA MCHANA! Unadhani wazee...
12 Reactions
41 Replies
672 Views
Huwa napata tabu sana wajomba wanapokua likizo na kuja kunitembelea mjomba wao huwa wanauliza maswali yasiyokuwa na majibu (majibu yenye ukakasi) Sana sana maswali wanayatoa kwenye topic ya...
29 Reactions
304 Replies
16K Views
Mdau, leo nigusie kidogo suala la uagizaji magari kutoka nje. Hasa haya ya Ujarumani. Wengi huagiza haya magari wakiamini huko lilikotoka lilimilikiwa na mtu mmoja. hapana hata kule kuna yard za...
2 Reactions
8 Replies
100 Views
Back
Top Bottom