Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Sijawahi kusikia au kusoma maelezo yoyote kuhusu kwa nini binadamu wengine wamekuwa Waafrika, Wazungu, Waarabu, Wahindi n.k ikiwa wote tulitoka kwa Adamu na Hawa.
13 Reactions
93 Replies
833 Views
Wakuu Hawa jamaa ambao Wana resign Kwa pressure kwanini barua zao huwa zinakuwa posted Kwa private account zao!? Au official channels zinakuwa restricted!? Au wanakuwa exile wakati huo wanapotaka...
1 Reactions
0 Replies
45 Views
Pascal Mayala aliwahi kueleza kwamba Nchimbi ni mtu mkweli na mwenye uwezo wa kulisaidia sana Taifa pamoja na Rais. Kauli hiyo inapata uzito mkubwa zaidi sasa baada ya Nchimbi kutangaza kuondoka...
0 Reactions
2 Replies
94 Views
Tanzania imesema ushiriki wake katika Mkutano wa 17 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea kwa Hali ya Jangwa na Ukame (UNCCD COP17) unalenga kuimarisha juhudi za...
0 Reactions
0 Replies
17 Views
Nimejaribu kuyatafakari yanayotokea hakika ni ustaarabu wa haki za kidemokrasia uliopitiliza,leo hii litokee hili kwa heche patachimbika!,japo ni makamu katika vyama vya upinzani
0 Reactions
0 Replies
20 Views
  • Redirect
Siasa ni mchezo, Siasa ni unafiki. Siasa ni "game of thrones"
1 Reactions
Replies
Views
Disco limevamiwa na Masai
2 Reactions
26 Replies
187 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Emmanuel Nchimbi, ametangaza uamuzi wa kustaafu siasa na utumishi wa umma. Nchimbi amesema leo, Agosti 25, 2026, amemuandikia barua Rais wa...
2 Reactions
15 Replies
332 Views
ETI TURITHI DHAMBI ZA WATU HATUWAJUWI HUO SI NI UZWAZWA:
0 Reactions
2 Replies
44 Views
Mwili wa mtu mmoja mwanaume ambaye hajafahamika jina umekutwa unaning'inia kwenye mti eneo la Makangarawe Yombo Dovya jijini DSM akidaiwa kujinyonga. Polisi wamechukua mwili huo kwa ajili ya...
1 Reactions
3 Replies
127 Views
Matokeo ya hivi karibuni kutoka kliniki binafsi na za umma zinazotoa huduma za uchunguzi wa DNA kote nchini Malawi yanaonyesha kuwa takribani asilimia 80 ya wanaume wanaojitolea kufanya vipimo vya...
3 Reactions
25 Replies
203 Views
Tanzania imepewa mkopo wa billion 459 kutoka Korea kusini fedha hizo zitatumia kwenye ujenzi wa chuo cha AI and digital technology Mimi najua hizo ela wamekopa za kuwalipa majaji wa mchongo kila...
2 Reactions
12 Replies
68 Views
Mimi ni zero brain, sina ninachokijua lakini najaribu kuwaza, Rais ni tasisi kwa ufaham wangu Haya maswali siku nikipata majibu nitakula nyama kilo Moja 1. Aliyeshauri Dr Nchimbi awe makamu wa...
2 Reactions
1 Replies
55 Views
ANAANDIKA BICHWA KOMWE 👌 Katika hii jamhuri yetu, na hata kwingine kokote nje ya Tanganyika, ni ukweli ulio wazi kwamba, kupata mtoto ni rahisi sana kuliko kupata ajira ya Tamisemi. Watu wengi...
17 Reactions
173 Replies
1K Views
Anonymous
Mimi ni mkazi wa Chalinze, Mtaa wa Nero, Darful. Tunaendelea kukabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maji mara kwa mara. Wakati mwingine tunakaa hadi mwezi mzima bila kupata maji. Hadi...
0 Reactions
0 Replies
24 Views
Wakuu natoka msibani kwa mjomba wangu muda huu Mjomba alikua mfanyabiashara alikua na upepo wa biashara ogopa, Alikua akija kununua mzigo hadi yeye amalize ndo wengine wenye mitaji midogo midogo...
5 Reactions
10 Replies
188 Views
Huu ndio moja ya uvumbuzi wa hovyo na hatari kuwahi kufanywa duniani nayo ni AI Kiswahili wanaita sijui akili mnemba sijui unde sijui. Ila AI ni moja ya vumbuzi mbaya na hatari kuwahi kufikiri na...
21 Reactions
78 Replies
945 Views
Katika kuangalia hali ya kisiasa inavyo kwenda sasa, kuna kitu kimoja ambacho wabongo wengi kama hatukioni ila ndo msingi mama wa haya yote na ndo maana hii nchi tumeshikwa kama mburula. Ni kuwa...
3 Reactions
17 Replies
125 Views
Back
Top Bottom