Mantiki ya swali langu inalengo la kufahamu, je, Ekaristi ni kitu ‘Spiritual’ au ni kitu ‘physical’? Meaning, mtu anaweza kupokea Ekaristi bila kula kile kioande cha mkate? Spiritually tu kwa...
Jana nilihudhuria kanisa moja
Wakaja wamama watatu na mzee mmoja
Wakanza kuelezea mambo ya dawa zao nk
Walipomaliza kuna mamaamoja akasema zinaponya na ukimwi na cancer
Kabla ajamaliza...
Tafadhali husika na kichwa cha uzi huu.
NSSF Wamekuja na mbinu mpya zifuatazo ili kuhakikisha wanufaika hawapati hela zao:
Hawajatangaza mahali popote kwamba fao la Kujitoa limerejeshwa licha ya...
Ni hakika wote tunajua kuhusu utatu mtakatifu...
Yaani the father, son and the holy spirit.
Also hii ina direct coleration na Body, mind and soul..
Hizi ni dhana tu za kujaribu kuelezea kitu...
Huenda wewe ni mfanyabiashara,
Mwajiriwa,
Au umeniajiri,
Huwa unafanya ninibunapoona gafla mambo yamebadilika?
kipindi hicho unafanyeje usikate tamaa na uendelee kupambana?
Mimi natumia njia...
Leo tuzungunzie Gonjwa la UKIMWI. Kuwa mvumilivu kusoma, pengine ukapata Dawa ya UKIMWI katika Makala yangu!
Imenibidi nikimbie Hadi Google, nikafanye Utafiti wangu Juu ya Asili ya Ugonjwa Huu...
Anatomia ya kobe ni mfano bora kabisa wa jinsi ya kujilinda na kuishi katika mazingira ya nchi kavu:
Gamba lake la juu lenye umbo la kuba na gamba la chini bapa huunda ngome isiyopenyeka...
Siyo kila unapopita brother habari yako au kila siku unampgia mtu simu unamwambia nilikuwa nakusalimia kumbuka
SALAMU YA MASKINI INACHUKULIWA KAMA OMBA OMBA
Binafsi nilipo kuwa chuoni nilitokewa kupendwa na mrembo..
Actually she was a genuine lover. Ni ile aina ya pisi ambazo kila nyakati ya siku lazima ikujulie hali, yaani I was engulfed in her love...
John Glenn alikataa kuruka hadi mwanamke mmoja alipohakiki kwa mkono hesabu za kompyuta.
Jina lake lilikuwa Katherine Johnson. NASA ilikuwa tayari na mashine za kielektroniki kufikia mwaka 1962...
Anatomia ya kobe ni mfano bora kabisa wa jinsi ya kujilinda na kuishi katika mazingira ya nchi kavu:
Gamba lake la juu lenye umbo la kuba na gamba la chini bapa huunda ngome isiyopenyeka...
Wakuu ivi izi kampuni kama Yas, Vodacom au Airtel zimeshindwa kabisa kuweka utaratibu wa Kukopesha izi flagship smartphone kama Pixel 10, Iphone 17 au Samsung S26 kwa Mkopo?
Badala yake...
Tayari Civilian-Coin ameshalipia Pesa taslim kwa ajili ya gazeti la Serikali na anachosubiri ni lini Gazeti la Serikali litatangaza taarifa yake ili aende NIDA kufanya mabadiliko.
Mtu mmoja anayedaiwa kuwa na tatizo la afya ya akili ,adaiwa kuchoma moto kwa makusundi jengo la zamani la mahakama ya mwanzo mjini Moshi mkoani Kilimanjaro na ,kusababisha uharibifu mkubwa wa...
Habari wanajamvi.
Naomba kufahamishwa hivi kuomba ruhusa ya kazi ya serikali nikaenda kugombea Ubunge/udiwani nilipita baada ya kumaliza miaka yangu mitano naweza kurudi kwenye kazi yangu ya...
Nimefungua madai ya kulipwa mafao yangu baada ya miezi 18, nimefungua tarehe 23/4/2026. Nilipofika nikaambiwa malipo ni ndani ya mwezi mmoja tu. Baada ya hapo tarehe 1/5 nikakopa kwa riba laki 3...
Mfano ona hapa majina ya baadhi ya Watoto wa Rais Museveni ni ,
1.Muhoozi Kainerugaba
2.Patrice Rwambogo
3.Natasha Museven Karugire
Kwa sheria za Tanzania unaonekana hauna mtoto sijui mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.