Najua ni wazi hujui ni ipi, na inaweza ikatokea umeipiga tu katika mazingira fulani yasiyo na matayarisho yoyote.
Lakini niamini ni mojawapo kati ya picha zako ndio itakayotumika kuwekwa juu ya...
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameamuru bendera za Marekani kote nchini humo zishushwe hadi nusu mlingoti kwa kipindi cha wiki moja, kwa heshima ya gwiji wa muziki wa country, Dolly Parton...
Wananzengo poleni kwa kazi na mawazo yasiyo na majibu waliofanikiwa ku submit wazo bunifu je! Kwako lomedikia wapi? Mimi naona bado lipo kwenye sijui screened
Sijui tuite mapinduzi katika sekta ya ulozi na uganga!?
Haya yanafanyika na yanatokea kila siku mitaani na katika jamii zetu,yaani mtu anafanya kitu ndivyo-sivyo alimradi to inakuwa ametimiza...
Mpaka sasa kuna 85% ya Makonda kuukwaa umakamu wa rais au Mwigulu Nchemba.
Mmoja kati ya hawa ndiye atakabidhiwa kijiti.
Tuweni wapole , muda utazungumza .
Mungu atuvushe salama kwenye hichi...
Imekuwa ni kawaida sasa nchini Tanzania kwa taasisi binafsi na za kiserikali kutangaza mashindano tofauti tofauti yakiambatana na zawadi watakazopewa washindi na mwishowe kuingia ‘mitini’ bila...
Mahakama ya Mkoa wa Tanga imemhukumu Said Yunusu maarufu kama Big Sela (20), kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti Mtoto mwenye umri wa miaka 11.
Akisoma hukumu hiyo...
Wadau, salaaam!
Moja kwa moja kwenye mawazo yangu.
Nimekuwa nikifuatilia kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, MH. TUNDU LISSU, toka siku ya kwanza mpaka leo hii kwenye hatua ya maswali ya kudodoswa...
Askari wawili wa Jeshi la Polisi ambao ni Izdory George Michael na Rehema Juma Magawa, wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Noah katika barabara kuu ya Dar es salaam -...
Ipo hivi , mama yangu ni mwalimu mstafu, Mimi ndiye kijana wake wa mwisho, mama yangu ni mgonjwa wa Bp, ni mwaka wa tatu tangia amegundulika kuwa na Blood pressure
Ukizingatia umri wake na Hali...
Habari wakuu
Hatimaye nimechagua kwenda kwa mzazi mwenzangu baada ya kutuma nauli 😁😁(Nlitakiwa kwenda tangu tar 23/nimetafuta sababu hadi imeishiwa zaidi ya kwenda) niliwaza kuila ila nikaona acha...
Hii sio habari njema, inakadiriwa 2080 idadi ya wanawake itapita idadi ya wanaume duniani. Kila uchao death rate inazidi kukua kwa sisi wanaume.
Chanzo : NBS
Huu msemo Sijawahi kuelewa. Arusha hawana bahari, Dodoma jangwa, Mwanza wana ziwa sio bahari lkn pia ni mji.
Kagera ni mji hamna bahari.
Kwani I Morogoro pekee. Kutoka Sweet Africa Msamvu wenu...
Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland...
Wakuu
1. Inahusiana na wewe kubaki bila kuondoka. Utaelewa vizuri katika wakati sahihi.
2. Utasimamia kufutwa kwa sheria ya kutoshtakiwa isipokuwa kwa mkuu kwa maamuzi aliyofanya akiwa...
Ukiona mtu au kampuni inatoa fulsa yakupata pesa ujue wewe msaka fulsa ndio fulsa yenyewe ukienda uko UKIAMBIWA TOA KIANZIO ILI ........ ujue tayar apo stuka! Au ukiambiwa anza kwa kuwekeza...
VIJANA, THAMANI YAKO HAIPIMWI NA KIASI CHA PESA ULICHONACHO. USIKUBALI KUINGIZWA KINGI NA WANAWAKE.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Vijana wengi leo wanaishi chini ya shinikizo kubwa ili...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (katikati) akizungumza wakati wa kikao kilichokutanisha viongozi kutoka matifa mbalimbali katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.