Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Najua ni wazi hujui ni ipi, na inaweza ikatokea umeipiga tu katika mazingira fulani yasiyo na matayarisho yoyote. Lakini niamini ni mojawapo kati ya picha zako ndio itakayotumika kuwekwa juu ya...
17 Reactions
122 Replies
16K Views
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameamuru bendera za Marekani kote nchini humo zishushwe hadi nusu mlingoti kwa kipindi cha wiki moja, kwa heshima ya gwiji wa muziki wa country, Dolly Parton...
3 Reactions
6 Replies
150 Views
Wananzengo poleni kwa kazi na mawazo yasiyo na majibu waliofanikiwa ku submit wazo bunifu je! Kwako lomedikia wapi? Mimi naona bado lipo kwenye sijui screened
0 Reactions
2 Replies
60 Views
Sijui tuite mapinduzi katika sekta ya ulozi na uganga!? Haya yanafanyika na yanatokea kila siku mitaani na katika jamii zetu,yaani mtu anafanya kitu ndivyo-sivyo alimradi to inakuwa ametimiza...
2 Reactions
0 Replies
51 Views
Ni wazi sasa CCM ni dude kubwa kwa kilugha "POSEIDON" Deogratius Ndenjembi kaula aisee nabubujikwa na machozi ya furaha huyu jamaa nilisoma naye
2 Reactions
5 Replies
161 Views
Katuga: haya maswali hayana nia yoyote mbaya si ndio Kaka angu? Mhe. Lissu: Umenishtaki kwa uhaini unasema maswali yako hayana nia yoyote. Wewe vipi wewe? Watu wanacheka. Hahahahaaaaa...
3 Reactions
4 Replies
283 Views
Mpaka sasa kuna 85% ya Makonda kuukwaa umakamu wa rais au Mwigulu Nchemba. Mmoja kati ya hawa ndiye atakabidhiwa kijiti. Tuweni wapole , muda utazungumza . Mungu atuvushe salama kwenye hichi...
4 Reactions
17 Replies
307 Views
Anonymous
Imekuwa ni kawaida sasa nchini Tanzania kwa taasisi binafsi na za kiserikali kutangaza mashindano tofauti tofauti yakiambatana na zawadi watakazopewa washindi na mwishowe kuingia ‘mitini’ bila...
1 Reactions
2 Replies
323 Views
Mahakama ya Mkoa wa Tanga imemhukumu Said Yunusu maarufu kama Big Sela (20), kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti Mtoto mwenye umri wa miaka 11. Akisoma hukumu hiyo...
1 Reactions
14 Replies
173 Views
Wadau, salaaam! Moja kwa moja kwenye mawazo yangu. Nimekuwa nikifuatilia kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, MH. TUNDU LISSU, toka siku ya kwanza mpaka leo hii kwenye hatua ya maswali ya kudodoswa...
1 Reactions
9 Replies
155 Views
  • Redirect
Askari wawili wa Jeshi la Polisi ambao ni Izdory George Michael na Rehema Juma Magawa, wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Noah katika barabara kuu ya Dar es salaam -...
0 Reactions
Replies
Views
Ipo hivi , mama yangu ni mwalimu mstafu, Mimi ndiye kijana wake wa mwisho, mama yangu ni mgonjwa wa Bp, ni mwaka wa tatu tangia amegundulika kuwa na Blood pressure Ukizingatia umri wake na Hali...
0 Reactions
1 Replies
70 Views
Habari wakuu Hatimaye nimechagua kwenda kwa mzazi mwenzangu baada ya kutuma nauli 😁😁(Nlitakiwa kwenda tangu tar 23/nimetafuta sababu hadi imeishiwa zaidi ya kwenda) niliwaza kuila ila nikaona acha...
1 Reactions
7 Replies
77 Views
Hii sio habari njema, inakadiriwa 2080 idadi ya wanawake itapita idadi ya wanaume duniani. Kila uchao death rate inazidi kukua kwa sisi wanaume. Chanzo : NBS
6 Reactions
58 Replies
366 Views
Huu msemo Sijawahi kuelewa. Arusha hawana bahari, Dodoma jangwa, Mwanza wana ziwa sio bahari lkn pia ni mji. Kagera ni mji hamna bahari. Kwani I Morogoro pekee. Kutoka Sweet Africa Msamvu wenu...
6 Reactions
78 Replies
641 Views
Wakuu, Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland...
224 Reactions
1K Replies
212K Views
Wakuu 1. Inahusiana na wewe kubaki bila kuondoka. Utaelewa vizuri katika wakati sahihi. 2. Utasimamia kufutwa kwa sheria ya kutoshtakiwa isipokuwa kwa mkuu kwa maamuzi aliyofanya akiwa...
165 Reactions
496 Replies
38K Views
Ukiona mtu au kampuni inatoa fulsa yakupata pesa ujue wewe msaka fulsa ndio fulsa yenyewe ukienda uko UKIAMBIWA TOA KIANZIO ILI ........ ujue tayar apo stuka! Au ukiambiwa anza kwa kuwekeza...
5 Reactions
14 Replies
154 Views
VIJANA, THAMANI YAKO HAIPIMWI NA KIASI CHA PESA ULICHONACHO. USIKUBALI KUINGIZWA KINGI NA WANAWAKE. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Vijana wengi leo wanaishi chini ya shinikizo kubwa ili...
8 Reactions
46 Replies
375 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (katikati) akizungumza wakati wa kikao kilichokutanisha viongozi kutoka matifa mbalimbali katika...
0 Reactions
0 Replies
20 Views
Back
Top Bottom