Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Natamani huo muda Zaidi Soma Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu aendelea kujitetea leo Agosti 24, 2026
2 Reactions
5 Replies
135 Views
Kauli ukizikisia mara nyingi ujue hapo hakuna utekelezaji. 1. Tumelichukua tunalifanyia kazi.. 2. Tupo kwenye mchakato 3. Uchunguzi bado unaendelea 4. Hilo nalo mkalichunguze huko 5...
1 Reactions
6 Replies
85 Views
Je umewahi kusikia historia kuhusu Njombe man-eaters? Neno "man-eaters" limetoka kwa Kiingereza na maana yake kuu ni wanyama wala watu, yaani mnyama ambaye amejifunza au kuzoea kuwinda na kula...
5 Reactions
18 Replies
258 Views
Taarifa za ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma TANAPA zimetajwa sana sana kila kona. Ubadhirifu huo mkubwa unaofikia Shilingi zaidi ya bilioni 19, umefanyika katika kipindi cha uongozi wa Kamishna...
0 Reactions
1 Replies
75 Views
Jumapili ya Leo pale kanisani kwangu nimetoa somo zuri sana Kwa wale wote waliooa na wanaotarajia kuoa. Niliwafundisha vitu viwili ambavyo mke anaweza kumshinda mume wake. Kitu Cha kwanza ni...
15 Reactions
79 Replies
715 Views
Katika maisha nimekuja kugundua we know exactly who we are, we just try not to act soo Mimi de Gunner nimekuwa nikiwaambia watu since nikiwa mdogo kabisa ya kuwa am gonna be known worldwide like...
3 Reactions
70 Replies
430 Views
1. Maagano ya Damu (Blood Covenants)Ulimwengu wa giza hufanya kazi kupitia maagano ya damu ya siri, ambapo kafara za wanyama au wanadamu hutumika kama sarafu kuu ya kiroho. Kwenye dunia ya asili...
15 Reactions
118 Replies
2K Views
Nimeshakaa zaidi ya miezi mitatu bila kupata kazi nyingine. Nilikuwa nafanyakazi private sector. Niko katika mchakato wa kujaza CLaims fomu za UNEMPLOYMENT BENEFIT katika NSSF portal. Niko...
1 Reactions
2 Replies
44 Views
Katika ulimwengu wa leo, pesa imekuwa kiini cha maisha ya watu wengi. Watu wanakimbizana na fedha wakiamini kuwa ndicho chanzo cha uhuru na furaha yao. Wanajitahidi kuongeza salio la benki...
3 Reactions
5 Replies
556 Views
Kushiriki kwa Freeman Mbowe katika ufunguzi wa bwawa la maji la Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) ni tukio lenye ujumbe mpana kwa Watanzania, linatuonyesha kuwa masuala ya maendeleo...
1 Reactions
11 Replies
277 Views
Kwa sasa, kwa takribani kipindi cha wiki nzima, tumeona operesheni za kuhakikisha mabasi yanaanzia kutoa huduma katika Stendi ya Mabasi ya Mbezi Magufuli badala ya kutumia stendi binafsi, hasa...
3 Reactions
3 Replies
74 Views
Anonymous
Daladala za Mpiji - Magohe hii njia ukiwa unapita kwa Magufuli kusogea huku nauli ni Shilingi 800 ila wamekuwa wakiwatoza watu elf moja na LATRA wapo tu, hawafanyi chochote, naamini wanajua...
1 Reactions
3 Replies
36 Views
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Kesi bado Iko mahakaman na big brain tundulisu kaita mashahidi wake mahakaman Mashahidi hao ni Samia, mpango, majaliwa na wakuu wa Majeshi...
5 Reactions
16 Replies
257 Views
Samia Amkosha, Mbowe JNHPP! JNHPP ni mradi wa kihistoria na fahari ya Tanzania. Ni hatua kubwa itakayoongeza fursa za uzalishaji, uwekezaji na ajira kwa Watanzania. “Ndoto imetimia,” Rais Samia...
0 Reactions
2 Replies
221 Views
Kwenye mapambano yangu na maisha yangu nimefanya kazi na jamii na watu tofauti tofauti yaani watanzania na watu wa nje . Observation yangu ni hii warundi ni wachapakazi sana hujutii japo sio...
12 Reactions
34 Replies
718 Views
Nabii Tito tangu akamatwe siku ya Jumamosi hadi leo hajafikishwa kwenye mahakama yoyote. Tunaomba Polisi wamwachie mara moja au wampandishe mahakamani.
1 Reactions
12 Replies
246 Views
Kumekuwa na ucheleweshaji wa huduma ya kuunganishiwa umeme kwa wateja wapya wilaya ya Mkuranga ambapo mteja anakuwa ashafata taratibu zote kwaajili ya kupata huduma ila mteja anasubirishwa Hadi...
0 Reactions
1 Replies
183 Views
Jana nilikaa na kaka mmoja hv na kuongea kuhusu maisha, Na katika hiki na kile nikamwambia kuhusu changamoto fulani hiv ndogo, Lakini badala ya kupata ushauri ni kama nilikuwa nimefungua koki...
0 Reactions
1 Replies
65 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amezitaka Halmashauri zote nchini kutumia michezo kama nyenzo ya kuimarisha afya...
0 Reactions
0 Replies
22 Views
Back
Top Bottom