Kauli ukizikisia mara nyingi ujue hapo hakuna utekelezaji.
1. Tumelichukua tunalifanyia kazi..
2. Tupo kwenye mchakato
3. Uchunguzi bado unaendelea
4. Hilo nalo mkalichunguze huko
5...
Je umewahi kusikia historia kuhusu Njombe man-eaters?
Neno "man-eaters" limetoka kwa Kiingereza na maana yake kuu ni wanyama wala watu, yaani mnyama ambaye amejifunza au kuzoea kuwinda na kula...
Taarifa za ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma TANAPA zimetajwa sana sana kila kona.
Ubadhirifu huo mkubwa unaofikia Shilingi zaidi ya bilioni 19, umefanyika katika kipindi cha uongozi wa Kamishna...
Jumapili ya Leo pale kanisani kwangu nimetoa somo zuri sana Kwa wale wote waliooa na wanaotarajia kuoa.
Niliwafundisha vitu viwili ambavyo mke anaweza kumshinda mume wake. Kitu Cha kwanza ni...
Katika maisha nimekuja kugundua we know exactly who we are, we just try not to act soo
Mimi de Gunner nimekuwa nikiwaambia watu since nikiwa mdogo kabisa ya kuwa am gonna be known worldwide like...
1. Maagano ya Damu (Blood Covenants)Ulimwengu wa giza hufanya kazi kupitia maagano ya damu ya siri, ambapo kafara za wanyama au wanadamu hutumika kama sarafu kuu ya kiroho. Kwenye dunia ya asili...
Nimeshakaa zaidi ya miezi mitatu bila kupata kazi nyingine. Nilikuwa nafanyakazi private sector.
Niko katika mchakato wa kujaza CLaims fomu za UNEMPLOYMENT BENEFIT katika NSSF portal. Niko...
Katika ulimwengu wa leo, pesa imekuwa kiini cha maisha ya watu wengi. Watu wanakimbizana na fedha wakiamini kuwa ndicho chanzo cha uhuru na furaha yao. Wanajitahidi kuongeza salio la benki...
Kushiriki kwa Freeman Mbowe katika ufunguzi wa bwawa la maji la Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) ni tukio lenye ujumbe mpana kwa Watanzania, linatuonyesha kuwa masuala ya maendeleo...
Kwa sasa, kwa takribani kipindi cha wiki nzima, tumeona operesheni za kuhakikisha mabasi yanaanzia kutoa huduma katika Stendi ya Mabasi ya Mbezi Magufuli badala ya kutumia stendi binafsi, hasa...
Daladala za Mpiji - Magohe hii njia ukiwa unapita kwa Magufuli kusogea huku nauli ni Shilingi 800 ila wamekuwa wakiwatoza watu elf moja na LATRA wapo tu, hawafanyi chochote, naamini wanajua...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Kesi bado Iko mahakaman na big brain tundulisu kaita mashahidi wake mahakaman
Mashahidi hao ni Samia, mpango, majaliwa na wakuu wa Majeshi...
Samia Amkosha, Mbowe JNHPP!
JNHPP ni mradi wa kihistoria na fahari ya Tanzania. Ni hatua kubwa itakayoongeza fursa za uzalishaji, uwekezaji na ajira kwa Watanzania.
“Ndoto imetimia,” Rais Samia...
Kwenye mapambano yangu na maisha yangu nimefanya kazi na jamii na watu tofauti tofauti yaani watanzania na watu wa nje .
Observation yangu ni hii warundi ni wachapakazi sana hujutii japo sio...
Nabii Tito tangu akamatwe siku ya Jumamosi hadi leo hajafikishwa kwenye mahakama yoyote.
Tunaomba Polisi wamwachie mara moja au wampandishe mahakamani.
Kumekuwa na ucheleweshaji wa huduma ya kuunganishiwa umeme kwa wateja wapya wilaya ya Mkuranga ambapo mteja anakuwa ashafata taratibu zote kwaajili ya kupata huduma ila mteja anasubirishwa Hadi...
Jana nilikaa na kaka mmoja hv na kuongea kuhusu maisha,
Na katika hiki na kile nikamwambia kuhusu changamoto fulani hiv ndogo,
Lakini badala ya kupata ushauri ni kama nilikuwa nimefungua koki...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amezitaka Halmashauri zote nchini kutumia michezo kama nyenzo ya kuimarisha afya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.