Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Ipo hivi tumepanga maeneo ya ushuhani kidogo hapa darisalama, sasa asubuhi tunavyoenda kibaruani wife huwa anawahi kidogo kuliko mimi. Sasa kila anapotoka huwa namchungulia dirishani namuona...
22 Reactions
166 Replies
2K Views
Unawakuta barabarani wanapungia mikono sijui wanafanyeje Kwa mabasi ya mikoani ama magari binafsi,then yule dereva nae anamulika mataa kama ana-blink. Ni Nini?
5 Reactions
13 Replies
268 Views
Nimesoma machapisho mengi sana kuhusu domestication of animals, lakini bado... Hebu nifafanulieni kwa lugha rahisi jinsi wanyama walivyoanza kufugwa. Cc Interlacustrine R
2 Reactions
54 Replies
308 Views
Anonymous
Tunapongeza jitihada za ujenzi wa barabara zetu, hususani mijini. Lakini tatizo linakuja kwenye quality control. Barabara nzuri inakamilika, halafu unawekewa speed bump ya kijinga kama kichuguu au...
1 Reactions
0 Replies
33 Views
Mtawala asipokupenda tu kichwa kinawekwa juu ya mkuki iwe fundisho kwa wengine 😂😂🙌 Waliowahi kuiona watanielewa😂 Ni mwendo wa kuwindana na kukaa kimachale machale sana.
3 Reactions
3 Replies
44 Views
Watu wakiwa wanaendelea na harakati za kirasiku, sokoni wauza mbogamboga, garage fundi makanika, huku vijana wakiendelea kuchombezana. Kutatokea shambulio la kushtukiza zito, katika mahala...
4 Reactions
17 Replies
360 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamsaka kijana mmoja aliyetajwa kwa jina la Emmanuel Elisante Mariki, mkazi wa kijiji cha Lyasongoro, kata ya Marangu, Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kujeruhi...
3 Reactions
16 Replies
240 Views
Nafsi ina msuta ila asili yake sio kuwa radicals kama wenzake.
2 Reactions
1 Replies
94 Views
Ndoto zingine bwana mwishowe ujikojolee na utu uzima huu. Eti nimeota Lissu amekua makamu wa raisi. Sijui nani kanivutisha bange usingizini.
4 Reactions
21 Replies
158 Views
========================== Tangu Maharage pale TANESCO alipotoa tamko lisilo na mantiki na linalo-defy all logical reasoning, kwamba eti hata baada ya Megawatt 2100 kuanza kuzalishwa kwenye bwawa...
53 Reactions
227 Replies
15K Views
Matokeo kutoka kliniki binafsi na za umma nchini Malawi yanaonesha kuwa takribani 80% ya wanaume wanaofanya vipimo vya DNA kutokana na mashaka kuhusu uaminifu wa wenzi wao hubainika kuwa si baba...
1 Reactions
7 Replies
92 Views
TAG wameonesha ukomavu wa kiroho kwa kuamua kuachilia na kusamehe mali zake ambazo mahakama ilikuwa imetoa uamuzi zirejeshwe TAG. Ifahamike kuwa EAGT pia ina mgogoro na makanisa mengi tu...
2 Reactions
8 Replies
96 Views
1. "Nimeamua kujiuzuru Kwa sababu nilikuwa mkaidi dhidi ya bosi wangu, ikapelekea kunipiga pini kila upande (kisaikolojia), hatimaye nikashindwa kupumua" 2. "Nimejiuzulu ila mimi na bosi wangu ni...
0 Reactions
3 Replies
160 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limefanikiwa kumtia mbaroni mtu mmoja anayedaiwa kuchoma moto jengo la mahakama ya mwanzo mjini Moshi . Kwa Mujibu wa Taarifa ya jeshi la polisi mkoani...
0 Reactions
4 Replies
87 Views
Kuna changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji katika Manispaa ya Musoma Mjini. Maji yamekuwa yakipatikana zaidi nyakati za usiku na kwa kusuasua. Wakati mwingine tunakaa hadi wiki nzima bila kupata...
0 Reactions
0 Replies
27 Views
Unazima moto kuzuia moto usiharibu nyumba inayo waka na kuokoa mali zilizomo ndani. Tatizo walisahau nyumba ya udongo ukimwagia maji mengi inaporomoka na kuta zake zinaharibika, zinaporomoka...
1 Reactions
1 Replies
44 Views
Toka nitembelee na kuishi mikoa ya mwambao wa bahari hasa pwani, lindi na Dar.. Nimekutana na tabia mbaya sana kwa kweli, na hili hata sio la kuwalaumu watoto. Ndugu zangu sijui kwanini hata...
0 Reactions
2 Replies
57 Views
UZI: Sextortion na Ngono : Mamlaka Zimezidiwa Kasi na Hili Bomu? Wana-JF, BIASHARA YA NGONO: Gesti Zageuka Studio za WhatsApp na 'Sextortion', Nani Atanusuru Kizazi Hiki? Mbali na habari za...
4 Reactions
18 Replies
373 Views
Katika haya Maisha kuna up and down nyingi saana. Unajikuta unapata Hela lakini mwisho wa siku inapotea unaanza upya Tena na kujipa Imani utatoboa Tena. Huwa simcheki bro anaekoto makopo ili...
7 Reactions
9 Replies
129 Views
Kamisaa wa Mechi kajifanya kuwa very smart mbele ya Refarii ila kwa ile Derby yao ya mwanzo ya Oktoba 29 ambapo Refarii aliamua kuiamua mwenyewe Kimaamuzi huku Kamisaa akiwa ni Ndumilakuwili...
2 Reactions
7 Replies
157 Views
Back
Top Bottom