Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wakongwe wenzangu naombeni mwenye vitabu hivi soft copy anitumie dm au kama ni hard copy basi mnijuze vinapopatikana. Ukisoma hivi vitabu unapanua uelewa kama Lissu , Mshana JR, Khalifa na...
4 Reactions
13 Replies
172 Views
Hadi Juni 2026, jumla ya kaya 276,000 zimesajiliwa katika mfumo wa Bima ya Afya kwa Wote, sawa na asilimia 100 ya kaya zilizolengwa katika awamu ya kwanza. Hatua hiyo inaendelea kuimarisha...
1 Reactions
3 Replies
37 Views
Ticket za Ndege Dar to Mwanza sio fair zipo juu sana ukilinganisha na miezi sita ya nyuma
4 Reactions
20 Replies
315 Views
Katika kitu najifunza siku za hivi karibuni ni kuwa mafanikio hayaji by chance. Kuna namna Mungu amemcraft kila kiumbe kutokana na uwezo wake, but we humans have a free will. Na huu ndo mtego...
11 Reactions
41 Replies
404 Views
Nikiwa miongoni mwa waombaji tuliopata neem ya kuhudhuria kongamano la 18 la maombi ya kutafita makao makuu ya serikali Dodoma. Miongoni mwa masomo ambayo tulipata kujifunza ni juu ya umuhimu wa...
2 Reactions
2 Replies
87 Views
Watanzania 173 waliokuwa wakiishi katika Jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini, wamewasili nchini baada ya kuamua kurejea nyumbani kwa hiari, kufuatia vuguvugu la kupinga wageni linaloendelea...
0 Reactions
1 Replies
53 Views
Yaani unavyopakaziwa wakati wanakudondosha utafikiri haujawahi kufanya lolote chochote. Pole sana ema ze boy.
1 Reactions
0 Replies
44 Views
Minara 758 iliyojengwa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita imeongeza upatikanaji wa mawasiliano kwa wananchi milioni 8.5 katika vijiji 1,400, hatua iliyochangia kuongezeka kwa laini...
0 Reactions
1 Replies
14 Views
Sijaingia kwenye mioyo ya watanzania ila kwa vyovyote 70% kuna jambo wanaomba,wanatamani litokee apa nchini nao wafurahi
1 Reactions
0 Replies
29 Views
Mimi ni Mkazi wa Pugu,Ninapokuwa njiani kuelekea kazini/Mjini nilikuwa nikishuhudia kuvunjwa kwa sehemu ya uzio wa shule na ujenzi wa frame za maduka.... Hiyo shule ni ya elimu ya Msingi Pugu...
5 Reactions
28 Replies
359 Views
Bi. Khadijah binti Nyambasi kutoka mkoa wa Pwani, akielezea namna mchezo wa bao unavyotumika kufanya maridhiano toka enzi za mababu. Katika mazungumzo yake aliyoyafanya kwenye Tamasha la nne la...
0 Reactions
0 Replies
10 Views
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, ameeleza sababu za yeye kuweka wazi umri wake, akibainisha kuwa kufanya hivyo kunawasaidia watu kumwelewa na...
0 Reactions
3 Replies
109 Views
Nimetest hii AI yangu ya kichovu wamba njooni mtie nyama ๐Ÿ˜ƒ
3 Reactions
2 Replies
56 Views
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Ajira na Mahusiano, Dkt. Evaline Wilbard Munisi amesema uzinduzi wa Ughaibuni Loan si uzinduzi wa mkopo pekee, bali ni hatua ya kujenga imani mpya...
0 Reactions
0 Replies
45 Views
Habari za wakati huu wapendwa, mimi naitwa PENDO GERVAS KALILO. Nilizaliwa mwezi Septemba mwaka 1993, Kahama. Kwa sasa ninamtafuta baba yangu mzazi ambaye anaitwa GERVAS KALILO. Sijawahi kumuona...
37 Reactions
112 Replies
2K Views
HABARI JTATU ILIYOPITA NLIISHIKWA NA BUTWAA KIDOGO KUNA MDADA NAMSAIDIA KWENYE UDHAMINI ALIOMBA KIASI CHA MILI 5 MOJA YA HIZI ASASI NKAENDA NAE NIKAMSIMAMIA ILIPOFIKA MALIPO NKAOMBA PAYMENT...
5 Reactions
10 Replies
226 Views
NILITOA UNABII NAPO TOA UNABII NATOA TAARIFA MAPEMA. MUNGU IBARIKI TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 Reactions
19 Replies
540 Views
Kwa hapa tulipofikia, akiamua aongoze mpaka achoke yeye ni kitu ambacho anaweza na chepesi sana kwake, hakuna kitu kitakachomzuia. Kuna jamaa alitoa Uzi asubuhi anasema mtanganyika ni mpumbavu na...
4 Reactions
25 Replies
398 Views
Lissu akigawa chanjo ya pepopunda huko Mahakamani leo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
2 Reactions
7 Replies
233 Views
In a major political evolution signaling a sweeping generational shift, Tanzaniaโ€™s ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party has selected Deogratius John Ndejembi as its nominee for the nationโ€™s next...
0 Reactions
1 Replies
80 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ