vitabu adimu , Navipata wapi? Mnunulie kijana wako w chuo.

vitabu adimu , Navipata wapi? Mnunulie kijana wako w chuo.

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
17,183
Reaction score
26,559
Wakongwe wenzangu naombeni mwenye vitabu hivi soft copy anitumie dm au kama ni hard copy basi mnijuze vinapopatikana.

Ukisoma hivi vitabu unapanua uelewa kama Lissu , Mshana JR, Khalifa na Jenerali Ulimwengu.
Kitabu kipi bado hujasoma kati ya hivi?

1.Salamu toka kuzimu (Ben Mtobwa)
2.Tutarudi na roho zetu (Ben Mtobwa)
3.Najiskia kuua tena (Ben mtobwa
4.Mtambo wa Mauti
5.Zawadi ya Ushindi
6.Malaika wa Shetani
7.Noti Bandia
8.Mikononi mwa Nunda
9.kiguu na Njia
10.Ligi kuu ya Huba (George iron Mosenya )
11.Kikao Cha wazazi (George Mosenya)
12.Taarifa ya Msiba (George Mosenya)
13.TOBI ( Abyas Mzigua )
14.Lijendi Mgalilaya ( Abyas Mzigua )
15.Jeshi la Akiba (George Mosenya )
16.Mwaliko wa Harusi
17.Alfu Lela ulela (kitabu 1-5)
18.Rosa mistika (Ephrace kezilabi)
19.Baba tajiri baba maskini
20.Hadithi ya Allan Quaterman (Umslopagaaz)
21.Mashimo ya mfalme Suleman
22.Adili na nduguze (Shaban Robart)
23.Tajiri wa Babeli
24.Alladin na taa ya ajabu
25.Alibaba na wezi 40
26.Njama (E.Musiba)
27.Kikomo (E.Musiba)
28.Safari ya Bulicheka na mkewe
29.Hekaya za Abunuasi
30.Kisiwa Chenye hazina
31.Shamba la wanyama
32.Nyayo za mwendo wa binadamu
33.Kusadikika (Shaban Robart)
34.Kufikirika (Shaban Robart)
35.Mapenzi bora (Shaban Robart)
36.Kiongozi
37.Kinjekitile
38.Theluji ya Kilimanjaro
39.Kisa cha sungura alieitwa Peter
40.Nyayo za mwendo wa binadamu
41.Kibwe katika safari ya Ajabu
42.Safari saba za Sindbad
43.Mkimbizi (Hussein Issa Tuwa )
44.Kikosi cha siri
45.Before i die
 
Wakongwe wenzangu naombeni mwenye vitabu hivi soft copy anitumie dm au kama ni hard copy basi mnijuze vinapopatikana.

Ukisoma hivi vitabu unapanua uelewa kama Lissu , Mshana JR, Khalifa na Jenerali Ulimwengu.
Kitabu kipi bado hujasoma kati ya hivi?

1.Salamu toka kuzimu (Ben Mtobwa)
2.Tutarudi na roho zetu (Ben Mtobwa)
3.Najiskia kuua tena (Ben mtobwa
4.Mtambo wa Mauti
5.Zawadi ya Ushindi
6.Malaika wa Shetani
7.Noti Bandia
8.Mikononi mwa Nunda
9.kiguu na Njia
10.Ligi kuu ya Huba (George iron Mosenya )
11.Kikao Cha wazazi (George Mosenya)
12.Taarifa ya Msiba (George Mosenya)
13.TOBI ( Abyas Mzigua )
14.Lijendi Mgalilaya ( Abyas Mzigua )
15.Jeshi la Akiba (George Mosenya )
16.Mwaliko wa Harusi
17.Alfu Lela ulela (kitabu 1-5)
18.Rosa mistika (Ephrace kezilabi)
19.Baba tajiri baba maskini
20.Hadithi ya Allan Quaterman (Umslopagaaz)
21.Mashimo ya mfalme Suleman
22.Adili na nduguze (Shaban Robart)
23.Tajiri wa Babeli
24.Alladin na taa ya ajabu
25.Alibaba na wezi 40
26.Njama (E.Musiba)
27.Kikomo (E.Musiba)
28.Safari ya Bulicheka na mkewe
29.Hekaya za Abunuasi
30.Kisiwa Chenye hazina
31.Shamba la wanyama
32.Nyayo za mwendo wa binadamu
33.Kusadikika (Shaban Robart)
34.Kufikirika (Shaban Robart)
35.Mapenzi bora (Shaban Robart)
36.Kiongozi
37.Kinjekitile
38.Theluji ya Kilimanjaro
39.Kisa cha sungura alieitwa Peter
40.Nyayo za mwendo wa binadamu
41.Kibwe katika safari ya Ajabu
42.Safari saba za Sindbad
43.Mkimbizi (Hussein Issa Tuwa )
44.Kikosi cha siri
45.Before i die
Chai.

Ina maana hata yule chura kiziwi akipewa hivi vitabu uelewa wake utapanuka?

Hiyo ni BIG NO.
 
Mimi nimesoma nakwambia serious,kitabu kama Peter the Rabbit, mtu mzima cha nini?ni hadithi za watoto..

Mkuu hapo vitabu vingi vya kingereza umeandika kwa majina ya Kiswahili,,je unataka ambavyo vimetafsiriwa??
Kama hicho si kumsaia mtoto kuacha utundu.
 
Wakongwe wenzangu naombeni mwenye vitabu hivi soft copy anitumie dm au kama ni hard copy basi mnijuze vinapopatikana.

Ukisoma hivi vitabu unapanua uelewa kama Lissu , Mshana JR, Khalifa na Jenerali Ulimwengu.
Kitabu kipi bado hujasoma kati ya hivi?

1.Salamu toka kuzimu (Ben Mtobwa)
2.Tutarudi na roho zetu (Ben Mtobwa)
3.Najiskia kuua tena (Ben mtobwa
4.Mtambo wa Mauti
5.Zawadi ya Ushindi
6.Malaika wa Shetani
7.Noti Bandia
8.Mikononi mwa Nunda
9.kiguu na Njia
10.Ligi kuu ya Huba (George iron Mosenya )
11.Kikao Cha wazazi (George Mosenya)
12.Taarifa ya Msiba (George Mosenya)
13.TOBI ( Abyas Mzigua )
14.Lijendi Mgalilaya ( Abyas Mzigua )
15.Jeshi la Akiba (George Mosenya )
16.Mwaliko wa Harusi
17.Alfu Lela ulela (kitabu 1-5)
18.Rosa mistika (Ephrace kezilabi)
19.Baba tajiri baba maskini
20.Hadithi ya Allan Quaterman (Umslopagaaz)
21.Mashimo ya mfalme Suleman
22.Adili na nduguze (Shaban Robart)
23.Tajiri wa Babeli
24.Alladin na taa ya ajabu
25.Alibaba na wezi 40
26.Njama (E.Musiba)
27.Kikomo (E.Musiba)
28.Safari ya Bulicheka na mkewe
29.Hekaya za Abunuasi
30.Kisiwa Chenye hazina
31.Shamba la wanyama
32.Nyayo za mwendo wa binadamu
33.Kusadikika (Shaban Robart)
34.Kufikirika (Shaban Robart)
35.Mapenzi bora (Shaban Robart)
36.Kiongozi
37.Kinjekitile
38.Theluji ya Kilimanjaro
39.Kisa cha sungura alieitwa Peter
40.Nyayo za mwendo wa binadamu
41.Kibwe katika safari ya Ajabu
42.Safari saba za Sindbad
43.Mkimbizi (Hussein Issa Tuwa )
44.Kikosi cha siri
45.Before i die
Vingi vipo maktaba.co.tz
 
Kama upo Dar nenda Posts (Ilala CBD) mtaa wa Samora maduka matatu au mawili toka sanamu Askari Monument ukielekea Clock Tower kuna bookshop maarufu sana utapata 60% ya vitabu vyote.
Pia kuanzia hapo hapo Askari Monument unaenda jengo la RITA kulia kwako Kuna bookshop nyingine. Hata kushoto barabara hiyo nadhani ipo nyingine wanavyo.
Pia nenda Jamhuri street jirani na ilipokuwa Wizara ya Sayansi na teknolojia zamani Kuna bookshop nyingine kama sikosei.
Pia kaangalie kwenye vitabu used hapo hapo Azikiwe ukitoka Askari Monument unaelekea New Africa Hotel kwenye restaurants za kushoto kwako wauza vitabu wote na vijarida wanavyo hivyo vitabu vipya na used.
Pia nenda Soko la Kisutu ndani pale ground floor wanauza used vingi utapata.
Nenda barabara ya kutoka Samora pale BIMA (NIC) kwenda IFM opposite na Wizara ya Ujenzi zamani kuna wauza vitabu used utapata hapo.
Yupo mtu anauza soft copy Facebook na Tick Tok search utampata.
 
Back
Top Bottom