YA NABII TITO, MAHAKAMA YA RUFAA, KESI YA DIBAGULA, NA UHURU WA KUABUDU.
Waraka wa BASHIR YAKUB.
+255784482959.
Mchana wa tarehe 16, March, 2000 Chamwino Mkoani Dodoma jeshi la polisi lilimtia...
Kwa kipindi kirefu sana, wananchi wa nchi pendwa ya kizalendo ya Tanzania walikuwa na malalamiko ambayo kwa sasa ni dhahiri inaonekana yamepata ufumbuzi kufuatia ukimya uliopo.
Yale malalamiko ya...
Members wa zamani wanakamsemo kao kakuona JF forum imepoteza mvuto ,kwa mada zilizopo sasa🤣🤣
Hahaha ngoja nifurahi kidogo nikishushia na funda la bia😅.
Nimekuwepo humu toka 2012, kwa mara...
Mwenyekiti wa kampuni za Said Salim Bakhresa (SSB), Said Salim Bakhresa amepewa Tuzo ya Mlipa Kodi Mwenye Hadhi ya Juu katika Maadhimisho ya Miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Bakhresa...
Niko Mbeya nashangaa shangaa
Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/=
Kitimoto kilo ni 8000/=
Mchele kilo ni 2000/=
Mafuta ya kupikia lita 5 ni 23,000/=
Maharage kilo ni...
Wadau wa utalii nchini Tanzania wamepinga tena mpango wa kuweka gari la kamba (cable car) kwenye Mlima Kilimanjaro.
Wanaonya kuwa mradi huo utaharibu ajira, utapunguza mapato ya serikali, na...
Yeah maisha magumu
Kila kona gharama zimekuwa ngumu
All in all, isikunyime nafasi ya kujinafasi.
Utaibukia beach? Movies? Plaza? Pub? Club? Home na familia?
ENJOY YOUR WEEKEND.
Mzee wa Miaka 84 afungua kesi ya talaka baada ya kuigiza Kiziwi na Bubu kwa Miaka 62 ili asimsikilize mkewe. mzee Barry Dawson mwenye umri wa miaka 84 kutoka Waterbury Connecticut, anaripotiwa...
Kwa msafiri anayepanda daladala kutoka Uyole, Nanenane na maeneo mengine ya ukanda huo kuelekea Stendi Kuu ya Mabasi katika eneo la Uhindini, safari ambayo ilipaswa kuwa ya moja kwa moja imegeuka...
Hongera mawakili na wanasheria mbalimbali nchini, kwa weledi, umahiri na umakini katika kusikilizana kupeana fursa za kujieleza kisheria, kutafakari na hatimae kufikia hitimisho la mashauri...
Nyie dada zetu mmelogwa? Ina maana nyie hamna akili za kuweza kutumia au kutunza pesa zenu wenyewe hadi mumkabidhi mwenzenu Mariam awawekee? Inashangaza sana. Kwa msiofahamu ni kuwa kwa sasa...
Kwakweli LATRA ilikosea sana kuanza kutoa vibali kwa baadhi ya makampuni ya mabasi kuwa na stendi zao binafsi nje ya stendi ya Magufuli, hapo ndipo mgogoro ulipo anzia na matokeo yake stendi...
Tukiachana na masuala ya dini kwanza, kwasababu sio dini ndo zimeleta uwepo wa Mungu
Ukizingatia dini kuu zilizopo mfano Uislam umeanza baada ya uwepo wa Mohhamad S.A.W, mtume huyo alidai...
Mwaka 2001, Justin Nyari hakukubaliana na habari iliyochapishwa katika gazeti la Financial Times. Habari hiyo ilimhusisha na tuhuma mbalimbali, ikiwemo kuwa kiongozi wa kundi lisilo na sheria...
Katika dunia ya sasa vijana wengi wanatafuta njia mbalimbali za kujenga maisha yao, baadhi wanaamini kuwa elimu ya chuo kikuu au vyuo vya kati ndiyo msingi muhimu wa kupata ajira na maisha bora...
Wakusanya malipo ya maegesho (parking), kwa kuvamia kando ya barabara na kuanza kukusanya malipo wamekuwa kero sana na mara nyingi wamekuwa wakiona ufahari kusumbua wenye magari.
Hii hali ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.