Katika muendelezo wa Makala zangu za Nishati safi ya kupikia; kumekuwa na sintofahamu kuhusu gharama za umeme kwamba ni kubwa sana hivyo kwa kumuwezesha mwananchi ni bora kumpa gesi. Nimeona bora...
Wataalam nataka nijue matumizi ya jiko la umeme na gesi kipi kina bei nafuu!
Maana tumekalilishwa umeme una bei ghali ndio maana sijawazaga hata kununua jiko la umeme.
Sasa juzi nimetumia rice...
Ule msemo wa wadhungu 'you are what you eat' ni kweli kabisa... muonekano na afya yako vinaendana na tabia zako za kula - espesheli aina ya vyakula unavokula.
ukila haraka haraka bila kutafuna...
Mafundisho makuu ya Yesu Kristo ni Upendo.
1. Kuwapenda jirani kama unavyojipenda mwenyewe
2. Kuwapenda na kuwaombea maadui zako.
3. Ukipigwa shavu moja ugeuze na lingine
4. Kusamehe saba...
TAARIFA KWA UMMA
Nimewasilisha Bungeni mapendekezo ya masuala mawili muhimu kwa ajili ya kupangiwa muda na kushughulikiwa katika Mkutano wa Nne wa Bunge, unaotarajiwa kuanza tarehe 26 Agosti 2026...
Tangu niliposikia kauli ya Mbunge Sospiere Mukweli akisema kwamba ujenzi wa mabwawa ya kufua umeme kwa sasa yamepitwa na wakati, akili yangu imevurugika kabisa nisielewe nini kinaendelea kichwani...
Ndugu zangu,
Leo tuseme wazi. Kuna watu wengine sio binadamu wa kawaida. Ni Kaini.
Kaini hakumpiga Abeli kwa sababu Abeli alikuwa mbaya. Alimpiga kwa sababu sadaka yake ilikubaliwa.
Mafanikio...
Ukisikia mjini shule, shamba darasa. Jiulize hao waliotunga huo usemi walikuwa na maana gani ama walikutana na masahabu gani!
Akili ya binadamu ni kitu cha kushangaza mno. Kina uwezo wa ajabu...
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi wamefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili wakiwa na jumla ya mita 14 walizoziiba usiku wa...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kupitia Dar Teknohama Business Incubator (DTBi) na Buni Innovation Hub...
Shughuli za Kozi ya 63 ya Ufundishaji ya Umoja wa Waandishi wa Habari wa Afrika iliyopewa jina la "Mahfouz El-Ansary" zimezinduliwa rasmi leo asubuhi mjini Cairo kwa ushirikiano wa Baraza Kuu la...
Salam wakuu.
Hongereni kwa kuendelea kuidumisha JF,
Nimekua nje ya jf kwa muda kidogo, ila hv karibuni nitarejea rasmi.
Lengo la uzi, ni kua ikiwa kuna mwana JF yupo morogoro maeneo ya mikese...
Kusema ukweli huwa nakereka sana kusikia nyimbo za dini, zinapigwa kwenye sehemu za starehe, hasa Bar. Sehemu hizi ni sehemu Shetani na jeshi lake wanafanya kazi zao kwa ufanisi, na anaona ni kama...
Niliwahi leta taarifa hapa kuhusu kifo cha anko wangu mzenji, alikua member wa jamii forum.
Maswali ambayo Hadi Leo NAJIULIZA na sipati jibu ni haya.
Umri wa anko ULIKUA mkubwa sana, lakini...
Linaweza likawa jambo la kushangaza kwa wengine, ila kwangu ndo uhalisia huo. Niliamua kuacha kula red meat kwa muda kutokana na allergy fulani, lakini baada ya miezi kadhaa nimeanza kugundua...
Ninaomba kuelekezwa namna ya kujiunga kwenye mnyororo wa mazao connect unaotangazwa sana na FAUSTER MNDUNDE. Kwa anayejua namba ya Fauster Mndunde nitashukuru akiniwekea hapa.
Asanteni sana.
Ukitoa wakuu wa majeshi , kuna uwezekano mkubwa abuduli licha ya kutokuwa na uongozi wowote serikalini akawa na sauti na mamlaka na akasikilizwa anachokitaka hata kwa kulazimisha kuliko makamo...
Habari wakuu.
Huu ni upuuzi umezidi yaani tuna miaka 7 plus hatujawahi hata kuwasiliana ,then mtu anakuunga kwa group la whatsup la harusi yake ,
Nini hiki ,alafu akuuliza unaahidi shilingi ngapi...
NB: Nina Akili Ndogo Sana
Binadamu au kiongozi yeyote yule hapaswi kutukanwa (Hata kama ni wa CHAMA "BA" AU chama "A au B" Binadamu anapaswa kukosolewa "in a constructive manner" na sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.