Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wanakwepa kodi ya serikali Hongera Albert Msando na Albert Chalamila .....
0 Reactions
0 Replies
29 Views
Mahakama va Hakimu Mkazi Lindi imemhukumu Alli Hamsi Mbelenje (30), mkazi wa Kijiji cha Makonde, Kata ya Mtama, Wilaya ya Lindi, kifungo cha maisha Gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kosa la...
0 Reactions
1 Replies
41 Views
Na ikitupendeza pale tunapokuwa free si vibaya tukiwa tunahudhuria Kesi mbalimbali ziwe ndogo au kubwa katika maeneo yetu ili angalau kuwa na ufahamu wa masuala mazima ya Kisheria. Asanteni sana.
1 Reactions
0 Replies
25 Views
Huu umekuwa kama ulemavu sasa. Kwa kazi yangu ya kukutana na Jamii moja Kwa moja nimekuwa mtu wa kajichanganye kwa watu wa rika zote, jinsia zote, levels zote, maskini, Hali ya Kati na matajiri...
23 Reactions
110 Replies
1K Views
nasemajee kusamehe ni weakness kama ni ubaya ubaya. mtu akikufanyia umafia usimuache hivi hivi dili nae kisawasawa. I'm out #Kisasi ni haki.
3 Reactions
1 Replies
24 Views
Kanisa la Pentekost la Christ Embassy, chini ya uongozi wa Pastor Chris Oyakhilome, limezindua rasmi safu ya magari yanayotumia nishati ya umeme, ikiwa ni sehemu ya miradi yake ya kiteknolojia na...
2 Reactions
2 Replies
83 Views
Kama inavyoonekana hapa Gen Z uwezo wenu wa akili umethibitika kuwa ni mdogo na hiyo ipo wazi tunaiona hata kwenye maisha ya kila siku. Hata hivi juzi kuna mhadhiri wa chuo kikikuu cha Dar es...
19 Reactions
220 Replies
2K Views
Wakuu mko poa, Kipindi cha nyuma nadhani 2016 wakati Muhongo akiwa waziri aliwahi kupiga marufuku matumizi ya mafuta ya transfoma kwa mapishi ya chips, wakati huo zilikua ni tetesi tu kua kuna...
0 Reactions
9 Replies
280 Views
Nimeanza kumfuatilia kwa karibu wakili huyu katika kesi hii yenye kuvuta hisia za wengi. Nilichogundua ni kwamba yu msomi kwelikweli hana mihemuko lakini intellectual strike capability ni kubwa...
7 Reactions
60 Replies
2K Views
Kuna stage katika maisha, universe itakupitisha katika tanuri la moto ili tu ikuamshe. Yaani utaona kama Mungu alikosea kukuumba ilihali amekufanya wa tofauti ili uje uje utimize mambo makubwa...
23 Reactions
124 Replies
1K Views
Nahisi hamjambo Shidayangu nataka mniambie nifanyeje ili tatizolangu liishe kabisa nikiwa na njaa tumbo linauma na kuwaka moto nakuwa mgonjwa ghafla.nikila tu kama dakika tano maumivu yote...
3 Reactions
34 Replies
264 Views
Hiyo ndiyo hali halisi. Tafadhali rekebisha kasoro hiyo! i very recent tatizo hilo limeanza. Ni mtandao gani mtu anaweza kuhamia?
0 Reactions
0 Replies
27 Views
Lissu : Tafadhali shahidi jitambuloshe mbele majaji na mahakama Samuya : Naitwa Samuya SH Lissu : Elimu yako ya juu ukipata katika chuo Gani? Samuya: mie nilisoma sokoine University ( mfano)...
1 Reactions
3 Replies
100 Views
Rais wa TLs Wakili Boniface Mwabukusi amesema Jiji la Mbeya linaonekana tofauti na majiji mengine nchini kutokana na shughuli nyingi za kijamii na kiuchumi kumalizika mapema usiku, kauli ambayo...
14 Reactions
119 Replies
1K Views
Tangu Jumatatu ya wiki hii, gumzo kubwa mitandaoni ni kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuwataka wamiliki wa mabasi ya abiria yanayotoka Dar kwenda mikoani kuanzia safari...
1 Reactions
1 Replies
90 Views
Kitu kinachokera na kufanya nisipende kutumia stendi za mabasi za umma kama Magufuli Terminal, ni mpangilio mbovu na vurugu. Serikali imetumia mabilioni ya pesa kujenga stendi zenye miundominu ya...
1 Reactions
6 Replies
95 Views
Naomba kufikisha salaam kwa Rais Samia kuhusu Sakata la stendi ya magufuli! Wamiliki wa mabasi wametumia kila njia kuomba kuonana na mkuu wa mkoa ili yafanyike mazungumzo kabla ya zoezi lakini...
3 Reactions
15 Replies
185 Views
Ndugu zangu, Serikali ya CCM imejenga uhalali wake kwa watanzania kwa kuwakinga dhidi ya makali ya ubepari. Wakati tunaenda World Bank kuomba hela ya Bwawa la Nyerere, tulipewa masharti ya...
0 Reactions
4 Replies
53 Views
Toka nimeingia humu sikuwahi kufikiria nitapenda mtu, sikuwahi kufikiria Nitakuwa drawn kwa ID ya mtu maana nilikuwa najua maandishi haya reflect physical beauty... Kumbe I was wrong, sikujua how...
18 Reactions
253 Replies
3K Views
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Naomba kujua ni nini maana ya kesi ya kujibu kama ilivyotokea leo kwa mghwai? LONDON BOY
2 Reactions
10 Replies
154 Views
Back
Top Bottom