Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) imetoa mapendekezo kwa Serikali kutumia mamlaka ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuangalia uwezekano wa kuondoa mahakamani kesi ya uhaini...
Karibuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji...
Dj Choka kwa sasa anasumbuliwa na figo, hivyo anahitajika mara kwa mara kufanya dialysis kusudi aweze kuishi.
Kumchangia afanyiwe dialysis ni jambo zuri sana pia ni thawabu kwa Mwenyezi Mungu...
Tanzania inaingia hatua mpya katika uchimbaji na uongezaji thamani wa Madini Tembo kupitia Mradi wa Fungoni–Kigamboni na Tajiri, huku ujenzi wa kiwanda cha uchakataji ukiendelea Tanga.
Mradi huo...
Katika mazungumzo yao, Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimesisitiza umuhimu wa kuimarisha biashara na uwekezaji kwa kuondoa vikwazo visivyo vya lazima, kuboresha huduma na...
Katika utu uzima wangu sikuwahi kuona mwanaume akifikiri kuwa makalio yake ni tija
Lakini kwa huyu kijana imekuwa tofauti sana
Sijui anafanya haya kwa lengo gani kwasababu kama ni mazoezi...
Kumekuwa na taarifa zinazosambazwa kupitia mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari kuhusu madai ya uchache wa miundombinu ya vyoo katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli. Taarifa hizo...
TANZANIA NA DRC ZAZIDI KUIMARISHA BIASHARA KUPITIA USHOROBA WA KATI
Takwimu zinaonesha kuwa Tanzania imefanya biashara yenye thamani ya Shilingi bilioni 794 na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayeshughulikia Ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini Bw. Ndiame Diop...
Sikumbuki kuona mwanaume yeyote aliyefanikiwa sana iwe kwenye siasa, biashara, michezo, Sanaa n.k ambaye ameoa mwanamke mwenye makalio makubwa ila ajabu ni kwamba wanawake wenye makalio makubwa...
Mwanasheria Peter Michael Madeleka amefunguliwa kesi ya jinai yenye jumla ya mashtaka matano ya kudharau Mahakama, yakihusishwa na kauli na hotuba alizodaiwa kuzitoa na kuzisambaza kupitia...
Kua wakili na mwana sheria wa Chadema ni sawa kumtetea swala mbele ya kundi la simba ingawaje unaweza kumtetea.
Kuitetea Chadema kwenye kesi zake ni zaidi ya bomu ila nisehemu nzuri yakuonesha...
Guys
Hii ni maajabu . sasa hili taifa ni familia ya paka kila mtu and ndevu.
Je hili litangazo kuwajuisha umma kwamba tarehe 25 August 2026 mapumziko ya kitaifa hayo mamlaka wametoa wapi.
Kwa...
Kamishna wa Ardhi Msaidizi - Dodoma Godfrey Mwamsojo amesema mgogoro wa Kiwanja Plot no 42 Kitalu B kilichopo katika Mtaa wa Image, Kata Kikuyu Kusini (South extension) Jijini Dodoma ni kwamba...
TAARIFA KWA UMMA
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga inawatafuta ndugu au jamaa wa mtoto huyu wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 5, ambaye hajafahamika jina lake.
Mtoto huyo...
Wilayani Siha, Kata ya Endumeti Mkoani Kilimanjaro kuna rushwa kubwa na uhujumu uchumi katika Shamba la miti TFS West Kilimanjaro.
Katika msitu wa hifadhi, kuna shughuli za kilimo cha mazao kama...
Serikali ya Tanzania imewapa wazalishaji wa saruji muda wa siku nane kuongeza usambazaji na kushusha bei, baada ya mfuko wa saruji wa kilo 50 kufikia hadi shilingi 26,000 pesa za Tanzania sawa na...
Wakuu Mimi siyo mtu wa siasa na Sina chama .ukweli niseme Kila mtu na mapungufu yake lakini tukiacha siasa pembeni, huyu mama kwenye swala la ajira kaupiga mwingi sana yan kaajiri watu wengi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.