Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

US presidential poll ‘will not affect ties’ KILASA MTAMBALIKE Daily News; Wednesday,September 03, 2008 @00:02 Results of the US presidential elections later in the year would not have any...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu yetu, mwenzetu Bwana Lowassa ametawazwa rami kuwa kiongozi wa kimila wa jamaa zetu Wamasai. Kusimikwa huko kutampa nafasi ya kufanya ziara Arusha, Arumeru, Monduli, Morogoro, Usangu na...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Date::9/1/2008 Tunashindwa kuwaelewa viongozi na ngonjera za ufisadi Elias Msuya Mwananchi KWA mara nyingine tena Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amerudia kosa lile lile alilolifanya bosi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
...basi ufisadi ungetokomezwa Tanzania Date::9/2/2008 Televisheni bandia za Sh500 milioni zateketezwa na serikali Dar Na James Magai Mwananchi TUME ya Ushindani Huru Kibiashara jana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mengi alia na mafisadi,adai wanataka kumharibia uhusiano *Abainisha hana ndoto za kuwa mwanasiasa Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI Mtendaji wa IPP, Bw. Reginald Mengi, amesema...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Nimepokea taarifa ifuatayo kwenye barua pepe yangu. Licha ya kuniarifu kwamba nimepata bahati nasibu ya uingereza ya mamilioni ya pouni, lakini ili wakamilishe taratibu za kunitumia hayo...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
One of the income generating acitivity in the city of Dar es salaam is selling seedlings and flowers. When moving along Morogoro road you will see a lot of people selling seedlings/plants of...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
President of the Revolutionary Government of Zanzibar, Amani Abeid Karume receives a souvenir from US Actor and Musician Will Smith in Zanzibar State House yesterday.(Photo by Ramadhani Othman...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Hili ni kwa wale wote wenye mapenzi !!!nikiwa katika concert la P SQURE Kulikuwa na mambo mengi ya ajabu mengine ambayo ni lazima yawepo katika jamii ila hili kidogo lilinishtua!!!!jamani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MKUU ACHA KUCHEZA NA MAISHA YA WATU HUU SI UTAWALA WA KIFALME KAMA UNAVYODAI UKIJIUZULU UTAFUTIWE MBADALA WEWE UNAWEZA KUTAFUTA MBADAKA NA MAITI ZA WATOTO WASIO NA HATIA WALIOATHIRIKA NA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tazara on the brink of collapse as managers get changed Written by DANIEL SAID THE CITIZEN Saturday, 30 August 2008 DAR ES SALAAM, TANZANIA- All is not well at the...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Seif fans flames of Union debate CUF secretary-general Seif Shariff Hamad. By Salma Said, Zanzibar THE CITIZEN The debate on the status of Zanzibar in the Union has resurfaced again...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekuwa nikiangalia kwa mshangao mambo mengi yanayoendelea Tanzania.Kwa mshangao, kwa vile tunafanya mambo yetu utafikiri wote kesho tutakufa,yaani kwa kimombo 'we will all be dead tomorrow'.Hivi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waziri mwakyusa"ajiuzulu" -------------------------------------------------------------------------------- MKUU ACHA KUCHEZA NA MAISHA YA WATU HUU SI UTAWALA WA KIFALME KAMA UNAVYODAI...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Richmond:Ikulu yatoa tamko hatima ya Dkt. Hosea, Mwanyika Na Timu ya Majira Jumapili SIKU chache baada ya Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda kuwasilisha Bungeni taarifa ya Serikali juu ya...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Mimi ni muuguzi niliyemaliza shahada ya uuguzi katika chuo kikuu cha sayansi za Afya Muhimbili MUCHS sasa kikiitwa MUHAS. Nina zaidi ya miaka 5 tangu nimalize chuo, lakini sina ndoto za kuajiriwa...
0 Reactions
0 Replies
9K Views
Licha ya kashfa nyingi ambazo zimeiandama serikali ya CCM inaonekana kana kwamba Watanzania siyo tu tumekuwa wavumilivu bali pia tumekuwa hatusikii tena maumivu kwani tumekuwa kama tuliopigwa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kasheshe ya chanjo ni nzito.Kwa wale ambao hamtaki kusoma mmekaa tu kama mazumbu koko,lazima mtaona sakata la chanzo ni jipya!Kwa sisi wengine hakuna jipya hapa.Hata wadau wenyewe wa mkakati wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The Research on Poverty Alleviation (REPOA) has revealed that corruption in the country has drastically declined over the past five years. REPOA conducted research in six sample districts and...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
These are the same people whose policies destroyed many countries in this World IMF chief backs Kikwete on EPA Correspondent in Washington Daily News; Sunday,August 31, 2008 @18:01 The...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…