Chuo kikuu cha sebastin kolowa, kilchopo Lushoto Tanga. kinasemekana kuendesha chuo kibabe kupitia serikali ya wanachuo ambayo inaegemea sana utawala badala ya maslahi ya wanachuo.
Tare 17.01.2011 ilikuwa siku ya baraza la chuo lakini kutokana kile kilichoitwa kudai haki ya kutaka kujuan matumizi ya michango yao wanachuo, iligeuzwa na kuwa kuvunja sheria za chuo hicho.
Sasa wanachuo wanadai katiba ya wanachuo ambayo haipo chuoni hapo,
Prof Bahendwa anachokiita kuwa ni katiba ya chuo ni rasimu ya katiba ambayo aidha yeye na serikali iliyopitwa na wakati ni kama vile bado wanang'ang'ania hali ya kuwa kutokupatikana kwa katiba ya wanasekuco.
Machafuko yaweza kutokea
Tare 17.01.2011 ilikuwa siku ya baraza la chuo lakini kutokana kile kilichoitwa kudai haki ya kutaka kujuan matumizi ya michango yao wanachuo, iligeuzwa na kuwa kuvunja sheria za chuo hicho.
Sasa wanachuo wanadai katiba ya wanachuo ambayo haipo chuoni hapo,
Prof Bahendwa anachokiita kuwa ni katiba ya chuo ni rasimu ya katiba ambayo aidha yeye na serikali iliyopitwa na wakati ni kama vile bado wanang'ang'ania hali ya kuwa kutokupatikana kwa katiba ya wanasekuco.
Machafuko yaweza kutokea