habari wana jf , ningepenada kujua deadline ya kulipa hukumu ya icc kuhusu dowans, je serekali haiwezi hata kidogo kudelay mpaka kikao cha bunge kianze angalau hawa wawakilishi wa wanachi watoe hata mapendekezo au mbadala wa hii sooo??
pls delay just for 2 months pls jk mtukufu!!!!!!!!!!!(sijui atasoma) sababu watu wengine hata hawajui kilichotokea. hata mie nimestuka tu after elections dowans huyu hapa golini kapewa penati alafu kipa mrisho ngasa, refa madega, yaani hata jamaa akigonga post ni goli tuu!!!!!!!
pls delay just for 2 months pls jk mtukufu!!!!!!!!!!!(sijui atasoma) sababu watu wengine hata hawajui kilichotokea. hata mie nimestuka tu after elections dowans huyu hapa golini kapewa penati alafu kipa mrisho ngasa, refa madega, yaani hata jamaa akigonga post ni goli tuu!!!!!!!