Kampuni ya kutoka norway itazalisha umeme wa kutumia upepo 600mw ifikapo 2013 wilayani mbinga.Mwewekezaji wa ndani ni alex lema....Swali kina Mwakyembe wameingiaje mkataba na govt na kuipa share 51% na mradi huo kuzalisha just 55mw?
wala haitafakariki hii topicMkuu sijaelewa sredi yako, nipe muda kidogo niitafakari!
Majungu hayokweli we bongolala haswaa unasema dr. Mwakyembe waumbuka (ni mwakyembe wangapi?) na tena thread yako hata haieleweki siwezi kuchangia. Nadhani kuna haja ya mod kufungua jukwaa mahsusi kwa ajili ya watoto maana great thinkers wamevamiwa na great sinkers.
Kampuni ya kutoka norway itazalisha umeme wa kutumia upepo 600mw ifikapo 2013 wilayani mbinga.mwewekezaji wa ndani ni alex lema.swali kina mwakyembe wameingiaje mkataba na govt na kuipa share 51% na mradi huo kuzalisha just 55mw?
Kampuni ya kutoka norway itazalisha umeme wa kutumia upepo 600mw ifikapo 2013 wilayani mbinga.mwewekezaji wa ndani ni alex lema.swali kina mwakyembe wameingiaje mkataba na govt na kuipa share 51% na mradi huo kuzalisha just 55mw?
ni bongolala.... ataelewekaje?Mbona haueleweki????
Majungu hayo