Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Jana (20/09/09) nikiwa naangalia kipindi cha Maisha Plus, MASOUD KIPANYA na Wenzake wakiwa Mkoani Mbeya, walikuwa wakiandika maneno kwenye makaratasi na kuwaonyesha wale vijana wanaoingia kwenye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani ni lini Waafrica tutaacha kudhalilishwa katika movies? Leo nimebahatika kwenda kuangalia hii movie mpya - District 9. Imekuwa based katika jiji la Johanesburg. Kwa ujumla ni movie nzuri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu mi niwatakie week end njema. Hiki kibao haipiti siku lazima nikisikilize nawaachie hewani maana week end ni ndefu balaa mpaka J4 tutaonana. Mtu mzima Pepe Kalle namzimia sana...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
LOL Basi kuna mshikaji kani-sms nusu saa iliyopita. Kanistua eti kuna bonge la houseparty jioni hii hapa Dar, lakini kiingilio ID ya mtoni. Yaani maanake ili uweze kujikita kwenye houseparty...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
http://www.youtube.com/watch?v=Tv--TP7bE0Q
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kulikuwa na mabishano kuhusu salaries za Memphis Grizzlies, gonga hapa upate kuona............ http://www.hoopsworld.com/Story.asp?story_id=9190
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwenye kipindi cha Bongo Star Search kinachorushwa hewani na Runinga ya ITV, jana wale vijana wawili (Msechu na mwenzake anayewakilisha DSM) ambao mmoja wao ndiyo anatarajiwa kvikwa taji la BSS wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
If you've been watching Nigerian movies, you will understand what this is about.. Enjoy! 24 THINGS WE HAVE LEARNED FROM NOLLYWOOD 1. Every problem you have is spiritual. 2. In every...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
- Unajua ni kwa muda mrefu sana sasa, bendi mbili kubwa nchini za marafiki wawili, yaani Twanga ya Papa Msilwa na FM Academia ya Papa Martin Kasyanju, zimekwua zikichuana sana kugombea soko la...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
katika vitu vinavyonishangaza ni hii ya mwanamuziki wetu wa bongo fleva AY ambwene yesaya kupambanihswa na jay z na kanye west katika category moja ya tuzo za mtv africa. huu sasa ni usanii...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
mara nyingi waandaaji tuzo za muziki au star search wanashawishi wafuatiliaji kupiga kura mara nyingi wawezavyo ,hivi hii ndio namna bora ya kupata washindi,au ndio kibiashara zaidi kutengeneza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Rapper Ludacris Gives Away 20 Cars to Drivers in Need Associated Press Talk about a one-man stimulus package: Grammy-winning rapper Ludacris has given away 20 cars to people who wrote about...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
....Temba auliza 'Je ni shetani/Jini gani huyo ndani ya Fani??'..... http://www.youtube.com/watch?v=2peMEdPOcFU **I'm impressed by the likes of...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I think AY deserves to win in that category, though MI is equally good. Shaa competition is tight Gal, First you'll contend with STL then MI. Lets support them by login in to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
By DAVID WILLETTS in Los Angeles Published: Today ACTOR Macaulay Culkin is the mystery dad of Michael Jackson's son Blanket, it was claimed last night. The Home Alone film star is said to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadada ondoeni vitambi hivyo! Muonekane wazuri na wa kuvutia http://www.youtube.com/watch?v=7wRaFMTuuHg
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wapenzi wa hawa ndugu,kuna mtu anajua kama watatumbuiza wapi weekend hii au mwezi mtukufu wamefunga? Kt.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Based on yesterday show (23rd August 2009) kulikuwa na mtindo wa "collabo" yaani ushirikiano wa wawili *2 Lkn mfano, Msechu ambaye nakubali anaimba vizuri, yeye na mwenzake walipomaliza kuimba...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Nijana tuu kigi kuu ya Vodacom Tanzania bara imeanza wakati Mnyama akiwararua wana lizombe wa Songea huku Dar Wananchi wakitoana jasho na watoto wa mbagala(African lyon).Katika mchezo wa Dsm kati...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu wenye taarifa/updates ya mashindano ya miss universe 2009, tujulisheni.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom