mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Tetesi nilizozipata hivi karibuni ni kwamba baadhi ya majaji wa bongo star search wameujutia uamuzi wao wa kukubali kuwa kura za mashabiki ndio zitakuwa muamuzi wa mwisho,na si maamuzi ya majaji,ukweli ni kwamba kwenye kabinet ya majaji kulikuwa na baadhi yao waliopenda ile tuzo iende kwa mtu ambaye walikuwa wameshamuandaa,lakini endapo maamuzi ya majaji yangechukua nafasi naamini kabisa pale diamond pasingekalika,poleni sana majaji na sera zenu za ukandamizaji,naomba hizi sera za kura zidumishwe hadi kwenye ma miss.Mwisho nampongeza sana bwana Pascal Cassian kwa kuibuka mshindi wa haki!!!