Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 81
Hii kitu tulikuwa tunaijadili jana lakini kutokana na sababu za kiufundi ilipotea, tuendeleeni wakuu...
Masoud na uongozi wa maisha plus, tafadharini mtoeni Baby Madaha kwenye kiti cha ujaji, she doest fit the bil, laa sivyo mtapokeza washabiki wenu wengi, huyu mwana dada hajatulia na maswali yake mara nyingi huwa hayana maana na wala hayampi changamoto yoyote kijana wa kitanzania kitu kingine huwa anapenda sana kuingilia pindi majaji wengine wanapokuwa wanauliza maswali na vimaswali vyake vya ovyo ovyo, plase get her out of the show, au mtafutieni kazi nyingine.
MJ
Masoud na uongozi wa maisha plus, tafadharini mtoeni Baby Madaha kwenye kiti cha ujaji, she doest fit the bil, laa sivyo mtapokeza washabiki wenu wengi, huyu mwana dada hajatulia na maswali yake mara nyingi huwa hayana maana na wala hayampi changamoto yoyote kijana wa kitanzania kitu kingine huwa anapenda sana kuingilia pindi majaji wengine wanapokuwa wanauliza maswali na vimaswali vyake vya ovyo ovyo, plase get her out of the show, au mtafutieni kazi nyingine.
MJ