ADUI
Member
- Aug 6, 2009
- 82
- 10
Hivi hii ni starehe au ugonjwa?
Kuna kitu ambacho kimetawala sana katika jamii yetu kwa sasa, nacho ni utazamaji uliopilitiliza wa picha za ngono (pornography), iwe filamu au picha za kawaida.
Kilichonisukuma kuandika hili ni baada ya kuona kuwa sio vijana tu walioathirika na kitu hiki, bali watoto na hata wazee wenye familia zao. Tukisema ufanyike ukaguzi wa haraka ktk simu za watu au kompyuta tutakuta mambo ya aibu.
Mimi naamini hiki kitu kina madhara sana, na ni so addictive! Ndio maana naamini pia kuwa umefika wakati wa kuliongelea jambo hili kwa uwazi, vinginevyo kuna hatari ya kuwa na kizazi cha watu wenye matatizo mengi sana ya kisaikolojia yatokanayo na picha hizi.
Kuna kitu ambacho kimetawala sana katika jamii yetu kwa sasa, nacho ni utazamaji uliopilitiliza wa picha za ngono (pornography), iwe filamu au picha za kawaida.
Kilichonisukuma kuandika hili ni baada ya kuona kuwa sio vijana tu walioathirika na kitu hiki, bali watoto na hata wazee wenye familia zao. Tukisema ufanyike ukaguzi wa haraka ktk simu za watu au kompyuta tutakuta mambo ya aibu.
Mimi naamini hiki kitu kina madhara sana, na ni so addictive! Ndio maana naamini pia kuwa umefika wakati wa kuliongelea jambo hili kwa uwazi, vinginevyo kuna hatari ya kuwa na kizazi cha watu wenye matatizo mengi sana ya kisaikolojia yatokanayo na picha hizi.