Habari wana JF,
Naomba kupata ufafanuzi kuhusu tabia ya baadhi ya maredio kusimamia kazi za wasanii, ninavyofahamu Air time yoyote ya radio inacost amount fulani. Kuna ulazima wowote wa kukomalia mapato ya album ya msanii wa kibongo kwa baadhi ya redio zetu kuweka matangazo mengi yahusuyo show ya msanii mhusika? Mwisho wa ziara ni nani atakaeneemeka na kazi iliyofanyika kati ya msanii na Radio? Naombeni mawazo yenu!!
Naomba kupata ufafanuzi kuhusu tabia ya baadhi ya maredio kusimamia kazi za wasanii, ninavyofahamu Air time yoyote ya radio inacost amount fulani. Kuna ulazima wowote wa kukomalia mapato ya album ya msanii wa kibongo kwa baadhi ya redio zetu kuweka matangazo mengi yahusuyo show ya msanii mhusika? Mwisho wa ziara ni nani atakaeneemeka na kazi iliyofanyika kati ya msanii na Radio? Naombeni mawazo yenu!!