mtanzaniaraia
Member
- Aug 17, 2009
- 37
- 1
Mimi ni mshabiki mkubwa wa Dar es salaam Young African ya Tanzania pamoja na Liverpool Fc ya England.Kutokana na mwenendo mzima wa timu ninazozishabikia naona upo umuhimu wa kutuliza mawazo kwa kuchagua kwa muda timu zingine zinazofanya vizuri katika mashindano mbalimbali kwani 'kama mtu anaweza kubadili dini itashindikanaje kubadili timu ya kushabikia japokwa msimu mmoja?!'
Kwa maoni yangu hapa TZ ningependa kwenda upande wa pili wa shilingi namaanisha Wekundu wa msimbazi Simba na England pia Man U.Bila ubishi hizi ndio timu ambazo zitanitoa presha na mlolongo/mgandamizo wa mawazo kila kukicha.
Sasa wadau nyinyi kwa maoni yenu mnaona imekaaje?
Kwa maoni yangu hapa TZ ningependa kwenda upande wa pili wa shilingi namaanisha Wekundu wa msimbazi Simba na England pia Man U.Bila ubishi hizi ndio timu ambazo zitanitoa presha na mlolongo/mgandamizo wa mawazo kila kukicha.
Sasa wadau nyinyi kwa maoni yenu mnaona imekaaje?