Jamani naomba contact za huyu jamaa(si taki kula) anipe siri nimekwisha amua kuanzisha weight clinic/health club hapa bongo, nile pesa za mademu zenu wanaopenda kujikondesha.
HAhaha mkuu umesahau kuwa mademu wa kibongo wanapenda kuwa wenye miili mikubwa ndo maana wachina wanawapatia kwenye dawa za kuongeza mizigo nyuma.
Hao wanaongeza ya kichina hawana pesa hao, wengi wao ni wa magomeni na kinondoni, mimi niafungulia mikocheni pale kwenye mapagara ya zadok dar village nawa target watoto wa kishua..u know watsup, hi daddy, yaani hao masnei.
No, huyo ni Ndugu yake ------------sidanganyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiki
No, huyo ni Ndugu yake ------------
sidanganyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiki
Hapo nao wanatutania kila mtu anajua mustafa si rizikiHaa ha ha ha ...................!
Mkuu,
Habari ndio hiyo
Alafu nimesikia amemchumbia Jackiline (kyline),labda sababu moja ya kukubaliwa uchumba
Mkuu ukiangalia "pua" mbona zipo tofauti?
si riziki - maana yake nini?
anapakatwa