Jana nilikuwa naangalia show ya BET nikaona Dwight Howard will tour africa, and during the conversation statement he mentioned TANZANIA 5x, now amesema kwamba anakuja kujenga shule, Swali ni...
Mama Benchmark naona inakula kwake,Airtel wamejitoa kwenye udhamini wa show hii.Inasemekana wao walikua wanatoa udhamini kiasi kama 255million kwa ajili ya show hii.Benchmark wamekimbilia...
baada ya kutazama tusker all stars jumapili nilikosa hamu kabisa kwa wale niliodhania. kwa mfano kipindi kilichopita Msechu alifanya vizuri sana lakini juzi Krrrrrr! aliniboa sana. anaulizwa...
wakuu nimemkumbuka sana mtu anaitwa willson peter na mdogo wake george peter na bendi ya less wanyika
kwa kweli ningefurahi sana kama ningeweza kuonyeshwa jins ya kudownload miziki yao
Mr Bean actor Rowan Atkinson has been taken to hospital after his 230mph McLaren F1 supercar hit a tree. The Blackadder star is believed to have suffered a shoulder injury in the crash on the...
JAMANI kwa walioshuhudia FIESTA ya mwaka huu pale LEADERS CLUB.
Hivi hawa wasanii wetu wanafkiria huwa tnaenda kushosha miko au kusikiliza na kutazama kazi zao?
Kila anayeingia na background...
Habari wana jf.nauliza kama kuna mwenye details kuhusu walipo hawa waigizaji wa futuhi.Kafuku,Msukuma, Chiko.nilikuwa nawazimia sana kwenye vichekesho vyao.lakini kwa sasa hawaonekani tena startv.
"Mama's Just A Little Girl"
Young mothers
That's right
I feel ya (hey)
I know how it is
(MAMA's JUST A LIL' GIRL)
Don't nobody understand
I feel ya
[Verse 1: Tupac]
She was ..
Born A...
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikitafuta soundtracks zilizotumika kwenye muvi ya sarafina. Nimepata chache sana kwa kusearch online isitoshe nyingi zipo more modified. Kama kuna mtu yoyote anaweza...
nimependa video yake ni mzuri sana, ila bado sijajua hii ni tv show au series na iko kwa upande up zaidi yaani sports, fashion, drama, comed, au ni nini? nimeona youtube na imeandikwa kuwa...
Kumbe wee Babu uko juu sana hadi Koffi Olomide akaimba wimbo kukufagilia....
Sawa bana, sisi wengine ngoja tukale tu Mihogo pale Kambi ya Fisi ndani ya Arusha, mitaa ya kwetu...
Hebu angalia na...
Ni Tamasha ipi inayofana zaidi kuliko zingine kati ya Sebene/ Bolingo na Tamasha la Hip Hop au RnB kwa wanamuziki wanaotoka nje wakisindikizwa na wasanii kutoka nchini? Mi naona za Sebene zinafana...
...na ole wao wasanii wote wanafiki wanaotumiwa na ruge ili kurudisha nyuma harakati zetu kwa njaa zao...tumewaachia kwa muda mrefu lakini sasa its enough,nao ni kuwachana tu ili tuwachoreshe kwa...