Nimepewa taarifa kwamba wasanii wengi wa kibongo ni mbumbumbu ndo mana wanaibiwa sana kazi zao na kuishia kulipwa hadi elfu kumi kwa kazi anayofanya hii ni kweli nije kuwekeza bongo!?
Nimepewa taarifa kwamba wasanii wengi wa kibongo ni mbumbumbu ndo mana wanaibiwa sana kazi zao na kuishia kulipwa hadi elfu kumi kwa kazi anayofanya hii ni kweli nije kuwekeza bongo!?
ningejisikia vbaya kama wanaharakat kama fid q n ROMA wangekuwepo kwny hyo nymbo
Wajinga watupu wale wanainvest kwenye mademu na njaa zao zisizoisha wanatumiwa na ccm kwa kupewa tshirt na hela kidogo tu af yanakurupuka na kuwadanganya ndugu zetu vijijini mi yananikera eti mtu kama fid q unamkuta kavalisha linguo la kijani anasifia chama..jinga
wameshindwa kutambua kuwa tunasherehekea miaka 50 ya Tanganyika huru siyo Tanzania kwani Tanzania haikuwahi kupata uhuru,na wimbo wao wa miaka hamsini ya tz, mbayaaaaaaaaaaaaaaaa
Swali lako tata sana na ndio maana hakuna aliyekujibu kukizi mahitaji yako wote wameweka chuki na itikadi za vyama,unataka kuja kuwekeza kwa sababu mambumbumbu ili uendalee kuwaibia au unataka kuja kuwekeza ili uwakomboe kutoka kwenye kuibiwa?Nimepewa taarifa kwamba wasanii wengi wa kibongo ni mbumbumbu ndo mana wanaibiwa sana kazi zao na kuishia kulipwa hadi elfu kumi kwa kazi anayofanya hii ni kweli nije kuwekeza bongo!?
Huna unalo lijua wewe kuhusu USA bora ukae kimyawasanii wa bongo shenz.i zao wapuuzi sana,wao ni wanyenyekevu kwa mafisadi.hivi mbona Obama hakuwatumia 50 cent,jay z,niki minaj au drake kumpigia kampeini? Wasanii wa huku wapuuzi sana..
Nimepewa taarifa kwamba wasanii wengi wa kibongo ni mbumbumbu ndo mana wanaibiwa sana kazi zao na kuishia kulipwa hadi elfu kumi kwa kazi anayofanya hii ni kweli nije kuwekeza bongo!?
Ukiongelea sanaa ni pana sana. Kuna wasanii wengi sana wamepata maendeleo kutokana na kazi zao.
Sanaa Tanzania inakuwa kwa kasi. Vijana wengi wamejiajiri kutokana na sanaa na wamepata maendeleo.
Tunaweza tukawasample wasanii wa maigizo kama akina Kanumba na Ray, Ze Comedy! Wote hawa wana maendeleo.
Kwenye muziki pia unaweza ukawaona kama akina Lady Jd, Mrisho na wengine wengi wamenufaika sana kutokana na kazi zao