Frequency za TBC 2 mbona hatuzisikii

Xpert

Member
Aug 7, 2009
6
0
Mimi nashangaa sana, hawa jamaa wa TBC hizo frequency wanazitoa kwa utaratibu gani? maana nimesikia watu wanasema frequency za tbc2 kwenye LNBF ya Ku-band wamezitoa, lakini sijasikia kama zimetoka, na leo ndio kimbembe kina anza, kuna watu wana madish makubwa na hizo LNBF kununua tena hizo receiver za startimes inakuwa kama kupoteza hela labda kama siyo mwanauchumi, naomba kama kuna mtu anajua utaratibu wa kuzipata hizo frequency ananisaidie.

i appreciate you wanajamii very much, keep it up

regards
xpert
 
frequency: 11691, Fake: 2/3; polarization: horizontal; Symbol rate: 4000; satellite: 802; LNB 9750 KU BAND.
Hii ni kwa wenye madish. Unapaswa kujua kuwa settings za dish lako la sasa zitabadilika kabisa na chanel zingine zitapotea. Unaweza ukaweka alama ili baadae dish ulirudishe katika sittings za zamani .
Pole sana ndugu, hiyo ndiyo TBC
 
frequency: 11691, Fake: 2/3; polarization: horizontal; Symbol rate: 4000; satellite: 802; LNB 9750 KU BAND.
Hii ni kwa wenye madish. Unapaswa kujua kuwa settings za dish lako la sasa zitabadilika kabisa na chanel zingine zitapotea. Unaweza ukaweka alama ili baadae dish ulirudishe katika sittings za zamani .
Pole sana ndugu, hiyo ndiyo TBC
kamabuzi ina maana utakapo- search hiyo Ku band channel ziliizopo kwenye intelsat 64 E zitapotea? kama ndivyo huu ni urasimu mwingine maanda TBC ni shirika la umma inakuwaje wanapogeuza baadhi ya chanel kuwa si za umma (yaani kwa watanzania wote kama ilivyo TBC1 na wakafanya za kulipia wakati chombo ni kilekile? huu mimi naona ni urasimu mwingine wa kulazimisha watu kununu hivyo ving'amuzi sijui vingamua mtu utakuwa na receiver ngapi ndani? mwishowe si utakuwa uchafu ukitaka AGApe king'amua chao, Ukitaka ITv uwe na chao ukitaka Channel ten hivyohivyo hivyi hawakuyaona hayo wakatafut njia mbadala ya kufanya mfumo uwe wa kingamua kimoja na kwa wale wenye madishi waweze kupata bila shida? kama ni biashara ijulikane mtu ajue.
 
kamabuzi ina maana utakapo- search hiyo Ku band channel ziliizopo kwenye intelsat 64 E zitapotea? kama ndivyo huu ni urasimu mwingine maanda TBC ni shirika la umma inakuwaje wanapogeuza baadhi ya chanel kuwa si za umma (yaani kwa watanzania wote kama ilivyo TBC1 na wakafanya za kulipia wakati chombo ni kilekile? huu mimi naona ni urasimu mwingine wa kulazimisha watu kununu hivyo ving'amuzi sijui vingamua mtu utakuwa na receiver ngapi ndani? mwishowe si utakuwa uchafu ukitaka AGApe king'amua chao, Ukitaka ITv uwe na chao ukitaka Channel ten hivyohivyo hivyi hawakuyaona hayo wakatafut njia mbadala ya kufanya mfumo uwe wa kingamua kimoja na kwa wale wenye madishi waweze kupata bila shida? kama ni biashara ijulikane mtu ajue.
Ismaili Yakhya kwa kweli kipindi hicho nilikuwa Mtanzania kwa kulalamika unajua tunalalamika sana hasa pale tunapokuwa hatuna ufahamu wa kutosha. Si unaona siku hizi kuna ufahamu wa kutosha kuhusu " HAMIA DIGITAL" kama "kama hamia Airtel" hahaha na malalamika yanapungua. Tatizo letu Viongozi wetu wa kibongo wanapenda kuelimisha watu dakika za majeruhi.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom