Team anakonda nomer,zito alitaman kurud kwa jide kwa jinsi shoo ya Fa ilivopoa
sikufika kwa fatuma lkn sidhani hata kama aliweza kumsogelea jide,usipime mkuu ukumbi ukitapika watu nje nyomi ya kumwaga kiukweli show ya jide ingepasa ifanyikie sehemu kubwa zaidi,watu nje walikuwa radhi hata km wamekosa viti lkn hakuna kurudi hm.......
Anayemfaananisha JIDE na FA hajui muziki na hajui tofauti ya muziki. Hata asingekuwa JIDE lets say Linah bado show ya FA ingeuwa bomu kwa maana ya kukosaa watu maana locaton, kiingilio was very unproportional na mashabiki wa muziki wa FA.
Ruge na Clouds media wameonesha kuwa na umasikini wa fikira.
Hii ndo habari ya jana,jide kafanya mauaji aiseeh
hata picha basi
Hii ndo habari ya jana,jide kafanya mauaji aiseeh