Habari zenu wana jamii.
Ninashida wa wimbo ambao siujui jina lake yeyote mwenye kujua tafazali anisaidie.
Wimbo wenyewe ameimba AY na jamaa simfaham kutoka Uganda.
Verse ya wimbo huo
Binadam sio watu,
Ukiwa na hela utawaona
Mbona sasa wamekimbia.[/QUOTE
wimbo unaitwa 'binadamu' ni wa AY ameimba na Maurice Kirya.
Habari zenu wana jamii.
Ninashida wa wimbo ambao siujui jina lake yeyote mwenye kujua tafazali anisaidie.
Wimbo wenyewe ameimba AY na jamaa simfaham kutoka Uganda.
Verse ya wimbo huo
Binadam sio watu,
Ukiwa na hela utawaona
Mbona sasa wamekimbia.