The best movie line..

The best movie line..

toghocho

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
1,172
Reaction score
198
Ni maneno gani, au majibizano gani yaliyo ku impress kwenye movie, ambayo uliangalia then ukarudishia usikilize tena?
mimi kuna hii: "what ar u gonna do?"...jibu: "my job."
then hii ...".is this a joke?" jibu" am I laughing?"
.....anamkiss.......''.I'm married''....jibu..."get out"
..."you are a lost soul if you have nothing to believe in "....jibu..." I believe in myself"

je wewe ni majibizano/maneno/line gani imekuimpress zaidi?...
 
Ni maneno gani, au majibizano gani yaliyo ku impress kwenye movie, ambayo uliangalia then ukarudishia usikilize tena?
mimi kuna hii: "what ar u gonna do?"...jibu: "my job."
then hii ...".is this a joke?" jibu" am I laughing?"
.....anamkiss.......''.I'm married''....jibu..."get out"
..."you are a lost soul if you have nothing to believe in "....jibu..." I believe in myself"

je wewe ni majibizano/maneno/line gani imekuimpress zaidi?...
Vipi, ulikuwa unachukua kozi ya kutongoza nini?...
 
cjakuelewa

Namaanisha, hasa wakati ule tukijifundisha Kiingereza
tulikuwa tukikalili mistari fulanifulani kwenye vitabu na
movie kama hizo, baadaye tunatiririka. Hapo nikiangalia
naona umequote mistari kibao yenye maudhui ya
kimahusiano kati ya jinsia mbili. Anyway, don't mind
it was just a joke.

Labda ngoja nifunguke kidogo, mimi misemo niliyoipenda
ni kama:
"Is he shitting me?"
"Osmund, will you ever wonder what it all meant to me,
but this is what I know, I love you, and I shall love you
until my death, and long after that"
"I don't give a shit"
"That's a ---- piece of shit"...
 
Movie ya Mel gibson,Apocalypto kuna sehemu star wa movie na wenzake walikamatwa alafu mzee mmoja anawaambia wakimbie uku anapiga mishale,walitafsili hivi, Now ruuuun.
 
mi ni moja tu kwa kweli imekaa kichwani from my favorite movie all the time.. "Shawshank redemption"

Andy: "Hope is a good thing, maybe the best of things, and no good thing ever dies"
Red "Let me tell you something my friend. Hope is a dangerous thing. Hope can drive a man insane"


Halafu mwisho mwisho ya movie wakati Red ametoka jela
alikuwa kwenye basi akaanza kusema .

" I hope I can make it across the border."
"I hope to see my friend, and shake his hand.
"I hope the Pacific is as blue as it has been in my dreams."
I hope.:yo:
 
yea vyema ukitaja mstali unataja na movie yake...
kwenye Gladiator...mechant anawaambia watumwa baada ya kuwanunua.
"i paid so i could profit from your death, and as your mother was there at your beginning... so i should be there at your end!
 
kutoka RANGO....
mayor anamwambia Rango...."with privilage come responsibility"
 
Bane to batman
"...ooh you think darknesa is your allay, I was born in it moulded by it, I never got to see the light until I was a man"
Pia Harvey dent/2 face kwenye dark Knight alisema "you either die a hero or live long enough to see yourself become a villain"
Duuh zipo kibao nyingine tonny Montana kwenye scarface "..you wanna f*** with me ahh you f*** with Tony Montana you f***ng with tha best Say Hello To Ma Lil friend" then kabooooom hahahahaha
 
Madea goes to jail..
Anamwambia yule binti baada ya kumvalisha mgauni mreeeefuuu,..
Anamwambia yeah...u- lo--o-k ble-ss-ed!
Kuna ile Anaconda ya zamani waloenda tafuta flowers wakakutana na nyoka.. Kati ya waliosurvive anamuliza mwenzie ,
'Am i dead?'
 
It takes your people 15 seconds to get out of the white house but it took us 14 seconds to get it all (not exact words. Just implying that it took you longer to make this work lakini sie tumewaweza)
In olympus has fallen (2013), where the north korea took hostage of the US president inside the white house. Ni kauli ya kibabe haswaa.

Kuna moja ya comando john in COMANDO (1985), jamaa wamemchukua anapelekwa kwenye ndege akamuambia kubwa la maadui 'I WILL BE BACK AGAIN', Kichalii kikamjibu 'JOHN, I WILL BE READY JOHN..' yaani hapo hapo nilijua jamaa hatakuwa ready wala nini! Njema zaidi walipomteka bintiye kitoto kikawaambia 'MY DAD WILL COME TO GET ME AND YOU WILL BE SORRY'. Kwa kale kabinti babake alikuwa ndo ulimwengu wote, kama alivyokuwa babangu then.
 
Isabela anamwambia aunt yake baada ya aunt kumkatak isabela asiuzulie birthday ya kina antonio akidai kuwa sio wa had hayo yao..isabela akamwambia "aunt have u forgotten that u and i we are verry very poor much mor than all of us?,nilipenda sana hii scen aunt akaonekan kuwa mpol
 
in the game of throne series!..mambo yalipoanza kwenda mrama, queen anamwambia princess 'the best weapon is that between your legs'...
 
Beck anamwambia Mr Hatcher achague kati ya option A na B. Option A awaachie Travis na yule dem pamoja na treasure item waende zao kwa amani. Mzee anauliza "what is option B?" Beck anajibu "I make you". Mr Hatcher anacheka kishenzi halafu anamwambia Beck "option A doesn't work for me". Jamaa anatoa kichapo cha kufa mtu. Mwishoni kabisa wakati kazee kanataka kukata roho kanasema "Mr Beck, I will take option A". Lakini kanakufa, sooo sad! Hiyo ni RUNDOWN. My best of all times. Wametoa tena kwa jina la AMAZON CALVARY.
 
kwenye series ya fringe, olivia anaulizwa ' do you remember that place..what was its name" anajibu I dont remember...
then baadae wapo kwenye gari anaulizwa tene ' you really dont remember,?" anajibu " the problem is not that I can't remember, but that I can't forget!!!"....dah me like that...
 
Frank:Would you like to have dinner?
Elise: Women don't like questions.
Frank: Join me for dinner.
Elise: Too demanding.
Frank: Join me for dinner?
Elise: Another question.
Frank: I Am having dinner, if you'd care to
join me.
Movie ya The Tourist (2010) ya Angelina Jolie
 
Nilipenda mahojiano ya larry king na Aladeen kwenye THE DICTATOR alipokua anakwepa swali la nuclear weapon, plus lafidhi ya kiingereza cha kiarabu

Larry King: "All right, let's get right to it.
Do you have nuclear weapons?"

General Aladeen: "What was the
question?"

Larry King: "Do you have nuclear weapons?"

General Aladeen: "Sorry, I can't hear
you."

Larry King: "Are you developing nuclear
weapons?"

General Aladeen: "No, I literally can't hear you."

Larry King: "I'm going to another
question."

General Aladeen: "Oh, I can hear you now
 
My all time favorite ni hii kutoka movie ya Dirty Harry ambapo Clint Eastwood anamchimba mkwara jambazi;
"I know what you're thinking. "Did he fire six shots or only five?" Well, to tell you the truth, in all this excitement I kind of lost track myself. But being as this is a .44 Magnum, the most powerful handgun in the world, and would blow your head clean off, you've got to ask yourself one question: Do I feel lucky? Well, do ya, punk?"
 
Nilipenda mahojiano ya larry king na Aladeen kwenye THE DICTATOR alipokua anakwepa swali la nuclear weapon, plus lafidhi ya kiingereza cha kiarabu

Larry King: "All right, let's get right to it.
Do you have nuclear weapons?"

General Aladeen: "What was the
question?"

Larry King: "Do you have nuclear weapons?"

General Aladeen: "Sorry, I can't hear
you."

Larry King: "Are you developing nuclear
weapons?"

General Aladeen: "No, I literally can't hear you."

Larry King: "I'm going to another
question."

General Aladeen: "Oh, I can hear you now

Aladeen mother----er hahahahaaaa director wa ile movie ni kichwa balaa hiyo movie inaweza kuiangalia siku nzima bila kuchoka
 
Back
Top Bottom