Wa nyamadyaki
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,178
- 529
Waungwana ambao washamiliki ving'amuzi vya azam tv, nimesikia kuna stesheni mpya za Itv, Eatv na Star tv wameziongeza tayari. Mwenye kujua jinsi ya kuzi search msaada tafadhari.
Si kweli. TV za Tanzania zinazoonekana ni Azam 1, Azam 2, TBC, Channel 10, Clouds Tv na ZBC.Waungwana ambao washamiliki ving'amuzi vya azam tv, nimesikia kuna stesheni mpya za Itv, Eatv na Star tv wameziongeza tayari. Mwenye kujua jinsi ya kuzi search msaada tafadhari.
Si kweli. TV za Tanzania zinazoonekana ni Azam 1, Azam 2, TBC, Channel 10, Clouds Tv na ZBC.
Si kweli. TV za Tanzania zinazoonekana ni Azam 1, Azam 2, TBC, Channel 10, Clouds Tv na ZBC.
Si kweli. TV za Tanzania zinazoonekana ni Azam 1, Azam 2, TBC, Channel 10, Clouds Tv na ZBC.
lawama zote watupiwe [tcra] kwa sababu ni kama hawapo kabisa wali toa maelekezo kwa wamiliki wote wa makampuni ya vingamuzi vya ndani ya nchi,nilazima kila kampuni [startimes][ting][digitek][contnental][azam tv] ziwe na station 5 za [itv][tbc][star tv][chanel 10][eat tv] sasa na shangaa kwamba [tcra] hawalioni hau ndio sheria hazifuatwi???? sasa kuna maana gani [tcra] kuwepo? ikiwa mtoa huduma mmoja hapewi haki ya kuweka vituo vya station???? wengine kama [star times][ting][digitek][contnental] wana pewa????au bakhresa sio mtanzania???????
Hata bila channel za IPP bado Azam tv wako juu.
muda wote unawaza ccm tu ata kwenye mambo ya kijami, badilika
Watake wasitake azam ndo kawaonyesha ni nini maana ya digital picture and sound
lawama zote watupiwe [tcra] kwa sababu ni kama hawapo kabisa wali toa maelekezo kwa wamiliki wote wa makampuni ya vingamuzi vya ndani ya nchi,nilazima kila kampuni [startimes][ting][digitek][contnental][azam tv] ziwe na station 5 za [itv][tbc][star tv][chanel 10][eat tv] sasa na shangaa kwamba [tcra] hawalioni hau ndio sheria hazifuatwi???? sasa kuna maana gani [tcra] kuwepo? ikiwa mtoa huduma mmoja hapewi haki ya kuweka vituo vya station???? wengine kama [star times][ting][digitek][contnental] wana pewa????au bakhresa sio mtanzania???????
Ndiyo. Siku hizi inaitwa ZBCZBC ndio TvZ?
jamani hata zuku hakuna itv na star tv bora hata waweke za kulipia ila hata ukilipa huoni tcra wamelala sana. Bora hata watuuzie kama za bure ni shida