TBC mnakera sana club raha leo

TBC mnakera sana club raha leo

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,633
Reaction score
7,021
Mnapiga sebene kiwango duni halafu mnategemea washiriki wacheze vizuri?Hivi msipoharibu huwa hamjisikii raha?Halafu acheni kucheza wimbo mmoja mnaharibu sana kipindi na halafu kwa nini msiruhusu washiriki wenu wachague nyimbo za kucheza?Nafuatilia kipindi lakini mmetuudhi sie watazamaji.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
kipindi hakina ubunifu kabisa,yaani mziki ni low quality kupitiliza ma judge hawajui mziki hawatoi ciomment za kitaalamu as if walikurupushwa kuja kwenye kipindi judge amabe naona anajielewa ni yule rasta tu wengine wote hamna kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom