habari za leo wanajamvi!
wakati nakuwa nilitokea kuzipenda mno hizi tamthiliya mbili ambazo zilikuwa zikioneshwa itv. Kwa bahati mbaya zilikatishwa kuoneshwa njiani na kwa muda ule nisingeweza...
wana jf msaada jaman naitaji wimbo wa abduli misambano asumin maana nimejaribu kuudownload cjaupata plz mwenye nao anaweza kunipa kupitia whatsapp no 0689439271 asanteni!
Kwenye mitandao ya kijamii nimeiona hii YOU TUBE akielezea dhana ya hiyo nyimbo 'Staki Kazi': http://t.co/Y9xMpo4CTr nimemuelewa sana.
Najiuliza uyu dogo si nasikiaa ana Masters alafu hataki...
Hili ni kundi la mziki wa Hip Hop, likijumuisha wasanii kutoka Arusha Joh Makini, Nikki wa II, G Nako, Bonta na Lord Eyes ( amesimamishwa kwa muda). Ni kundi ambalo kwa sasa liko juu sana hasa...
Eeh, sijakosea. Tabata kuna beach nzuri such that haina haja ya kwenda Coco tena. Baada ya hizi mvua za mafuriko kwisha, 'Mto Tabata' umetengeneza 'fukwe' nzuri zenye mchanga kama beach za bahari...
vipi muziki wa bongo mastar ni walewale wa kila siku? ma dj wa radio station inueni vijana wetu chipkizi, msiamini majina ya studio kubwa na wasanii wakubwa kama wao ndio wakali zaidi no! kuna...
Nilikuwa najiandaa nimpigie kula diamond kwenye tuzo za BET lakini baada ya kuona video ya show yake ya majuzi huko kwa malkia imenibidi nifikirie mara mbili.Je nimpigie kura kwa kuwa ni...
Wana JF nawaombeni kuelewa fasihi iliyotumika kwenye wimbo huu. "Mfanyakazi kaiba kuku jikoni kwa mfalme. Wenzake wakamsakama. Akaona heri ajisalimishe kwa mfalme na kuomba msamaha. Akasamehewa...
Your are here » Home » Pulse Gossip Singer Diamond demands for presidential suite and a first Class ticket By Pulse Writer Updated Friday, May 9th 2014 at 15:33 GMT +3 0 inShare...
African Music Magazine Awards (AFRIMA) imetoa nominees wanaowania tuzo mbalimbali barani Africa! Kwa upande wa Tanzania wasanii waliochaguliwa ni pamoja na Diamond Platnumz (5 categories), Lady...
Wakubwa,
mimi ni mpenzi wa kuangalia documentaries. Naomba kujua hapa Dar es Salaam naweza kupata wapi HD quality documentaries. Nikipita kwenye libraries nyingi nakutana na movies tuu, ila...
Habari za saa hizi wanajamvi...nimeona sio vibaya jumamosi ya leo tukumbushane muziki wa zamani ambao ulipata kusumbua au kuwika enzi hizo uwe wa hapa nchini au nje ya nchi ilimradi uwe wa zamani...
Na leo nimesikia wimbo wake wa kipi sijasikia ukipigwa clouds radio!!
Kifupi huyu jamaa anaweza sana, mashairi yake yamejaa ubunifu, ujumbe, kuburudisha, jamaa ninamkubali sana tena sana...
Msaanii tajwa ametoa wimbo mpya unaitwa Sitaki Kazi mwenye mashairi aweke hapa
Verse 1
Uko wasiwasi mtu bila nafsi/ umeajiriwa shirika la mtu binafsi.
Sina wasiwasi mtu mwenye nafsi/...
Tunawafahamu zaidi wanamuziki wetu kwa nyimbo zao kali na majina yao, lakini tukumbuke nyuma yao kuna kazi kubwa sana imefanywa na producer mpaka mziki husika ukawa kama ulivyo. Man Water Shirko...