upo...nyimbo ya samba mapangala naitafuta nimeenda google chenga tupu msaada please.
long tyme no see you miss..Next time upepe ungo au chujio tukoa chenga...
long tyme no see you miss..
acha noma bidada nifanyie mpango bac
Miss u too how is ur wife... duh halafu sikuona kumbe nimekosea kuandika kiasi hichooo duh nazeeka jmn:evil::evil:
Mkuu chaUkucha! mp miezi mitatu kwangu hiyo haiwezekani, labda umueleze Heaven on Earth.mkuu ungeniwekea mp3 maana nimebonya link simu imezima!
Ahahahaah! Namkumbuka marehemu Mzee wangu. Aliupenda sana huo wimbo.
........kila kitu ufanyacho lazima upitie kwa waganga........pesa zako hupatia, kina dada watafuta jina ama vipi........ kampuni sio yake wala yangu ni ya muzuuungu.... baba wapeeee, haki zaoooo,...wana matumizi piaaaa........
Mkuu chaUkucha! mp miezi mitatu kwangu hiyo haiwezekani, labda umueleze Heaven on Earth.