ningekuwa mm ndo mtoa vigezo hapo kuna mmoja tu wa kushiriki japo napo kwa kumfumbia macho!Wengine wamegoma kujitokeza labda....Kwani huwa hakuna angalau vigezo vya kuanzia ili ambao hawajafikia hapo wasichukuliwe kushiriki? Hata kwenye kazi huwa kuna pa kuanzia kuwa mwenye masters, degree etc etc....
binafsi ningependa kama camera 360 ingekuhusika!
binafsi ningependa kama camera 360 ingekuhusika!
mkuu hebu tuambie wenyeji walikuwa wanasemaje kuhusu hao washindani!...wanatarajia miss tanzania toka huko?!Duh nlienda VIP club kwenye utambulisho wa Miss Iringa ilikua ijumaa nikabaki mdomo wazi,tatizo hata waliopewa jukumu la kuwafundisha ni magmashi tu hawa bora Iringa isipeleke mshiriki watakua wamefeli kishujaa.