Prof Jay aamua kubadilisha msimamo wake wa kumuona Ruge Mutahaba kam ni kikwazo cha kukua na mnyonyaji wa music wa BongoFlavor
Baada ya Prof Jay kutoa nyimbo ya 'kipi sijakisikia' miezi miwili...
bofia liki hii ujue ulikopangwa.
Hii Wiki jijini Mwanza: (BREAK NEWS) - MAJINA YA VIJANA KIDATO CHA SITA 2014 MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA PILI NA VIKOSI WALIVYOPANGIWA
VIJANA WOTE AMBAO WAMEMALIZA...
Ninauliza hili kwa kuangalia muziki hasa wa hao waNigeria tunaowakodi wao waliunyanyua muziki wao wenyewe mfano tangu enzi za kina Fela Kuti mpaka vijana wa sasa. Hii trend ya kuwatumia naona ni...
Bandugu,ile likizo yangu ya mwaka ndo imefika. Hii ni likizo ya kwanza ya muda mrefu kuwah kupata...baada ya kufanya kazi kwa kujituma kujenga taifa letu nataka nile good tym to the fullest
Facts...
Hawa jamaa sijui wana matatizo gani..juzi kati walikua na kipindi/shindano la kumtafuta mtu mwenye wazo la kibiashara na mshindi angepewa milioni kumi,wafadhili walikua ni Nssf,shindano...
yeeees..ni yuleyule tena mkali wa wakali, sukari ya warembo hasa masuperstar wetu wa kike,yule anayejiita raisi wa wasafi, yuleyule ambae ana make headline kila koona ya Tz na Africa kwa...
natamani kumuona huyu kiumbe akipaform live
hapa mujini anapigaga wapi wikiend hiii
alafu baada ya kurudi kaingia bendi gani
KUMBE WEWE NI MUSALITI UMEZOEA KUONJA ONJA KWA KILA MUTU ETI...
Wadau, wale wenyekuitaji dvd za movie mpya na zazamani kwa ajili ya biashara ,zinapatikana kwa bei ya jumla, kama ni muhitaji plz ni Pm tufanye biashara
Jaman naomba mwenye wimbo wa Michael learns"complicated heart" aniwekee link hapa. Na kundi gani lilikuwa kali kipndi hicho? Kat ya " kool and the gang, air suply, commodores, Bee gees, atrantic...
nyimbo hz hapa
ya kwanza inaimbwa hv
"""mpenzi wangu samahani
"""makosa nimekosa mimi
"""naomba unisamee angali bado niko hai
Ya pili inaimbwa hv
""""sina demu kama...
Tunaweza kuwa na tofauti zetu na utani na hawa ndugu zetu Wabongo, lakini hapa utani kando, jameni hili kombe tulipiganie kama wana-EAC. Baadaye tutarejelea malumbano yetu. Naombeni tupige sana...
Mgombea wa nafasi ya makamu wa urais katika klabu ya Simba amesema anaidai klabu hiyo zaidi ya Sh. milioni 200.
Jamhuri Kihwelo ‘Julio' amesema anadai kitita hicho kilichotokana na kuvunja...
Vijana wa bongo fleva wameunganisha nguvu na tutengeneza bonge moja la collabo, vijana hao Gosby & ommy dimpoz wameshusha mzigo huu mapema week hii, nimeipata bongo five, Mnyonge mnyongeni lakini...
Kuna kipindi cha maigizo kinachorushwa na Clouds TV kinaitwa MAHUSIANO aisee ni kizuri,waigizaji hasa wale wawili(sijawajua majina) but ndo main characters wanajua kuutendea haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.