Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Natafuta mzamini
0 Reactions
9 Replies
3K Views
wana jf msaada jaman naitaji wimbo wa abduli misambano asumin maana nimejaribu kuudownload cjaupata plz mwenye nao anaweza kunipa kupitia whatsapp no 0689439271 asanteni!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwenye mitandao ya kijamii nimeiona hii YOU TUBE akielezea dhana ya hiyo nyimbo 'Staki Kazi': http://t.co/Y9xMpo4CTr nimemuelewa sana. Najiuliza uyu dogo si nasikiaa ana Masters alafu hataki...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
Hili ni kundi la mziki wa Hip Hop, likijumuisha wasanii kutoka Arusha Joh Makini, Nikki wa II, G Nako, Bonta na Lord Eyes ( amesimamishwa kwa muda). Ni kundi ambalo kwa sasa liko juu sana hasa...
0 Reactions
62 Replies
21K Views
Eeh, sijakosea. Tabata kuna beach nzuri such that haina haja ya kwenda Coco tena. Baada ya hizi mvua za mafuriko kwisha, 'Mto Tabata' umetengeneza 'fukwe' nzuri zenye mchanga kama beach za bahari...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
vipi muziki wa bongo mastar ni walewale wa kila siku? ma dj wa radio station inueni vijana wetu chipkizi, msiamini majina ya studio kubwa na wasanii wakubwa kama wao ndio wakali zaidi no! kuna...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilikuwa najiandaa nimpigie kula diamond kwenye tuzo za BET lakini baada ya kuona video ya show yake ya majuzi huko kwa malkia imenibidi nifikirie mara mbili.Je nimpigie kura kwa kuwa ni...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Powerjams now ,Kunauwezekano wimbo wa kiuno wa tid ukawa copy n paste kutoka zambia. Source:Sam Misago..EA Radio
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Wana JF nawaombeni kuelewa fasihi iliyotumika kwenye wimbo huu. "Mfanyakazi kaiba kuku jikoni kwa mfalme. Wenzake wakamsakama. Akaona heri ajisalimishe kwa mfalme na kuomba msamaha. Akasamehewa...
1 Reactions
28 Replies
8K Views
Kuna grp ipo whatsap kuhusiana na movies tu, i need active members. Kama umependa nichek 0659098486
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Your are here » Home » Pulse Gossip Singer Diamond demands for presidential suite and a first Class ticket By Pulse Writer Updated Friday, May 9th 2014 at 15:33 GMT +3 0 inShare...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
African Music Magazine Awards (AFRIMA) imetoa nominees wanaowania tuzo mbalimbali barani Africa! Kwa upande wa Tanzania wasanii waliochaguliwa ni pamoja na Diamond Platnumz (5 categories), Lady...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakubwa, mimi ni mpenzi wa kuangalia documentaries. Naomba kujua hapa Dar es Salaam naweza kupata wapi HD quality documentaries. Nikipita kwenye libraries nyingi nakutana na movies tuu, ila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Show ilifanyika jana saa 4 mpaka 12 ay&fa,jambo squad,prof.jay,WEUSI, walifunika balaa
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari za saa hizi wanajamvi...nimeona sio vibaya jumamosi ya leo tukumbushane muziki wa zamani ambao ulipata kusumbua au kuwika enzi hizo uwe wa hapa nchini au nje ya nchi ilimradi uwe wa zamani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eti ni kweli kuwa mpenzi wa diamond wema sepetu ni mkubwa kuliko diamond au ni uzushi tu wa baadhi ya watu? Naomba mnisaidie wakuu!!!
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Na leo nimesikia wimbo wake wa kipi sijasikia ukipigwa clouds radio!! Kifupi huyu jamaa anaweza sana, mashairi yake yamejaa ubunifu, ujumbe, kuburudisha, jamaa ninamkubali sana tena sana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaanii tajwa ametoa wimbo mpya unaitwa Sitaki Kazi mwenye mashairi aweke hapa Verse 1 Uko wasiwasi mtu bila nafsi/ umeajiriwa shirika la mtu binafsi. Sina wasiwasi mtu mwenye nafsi/...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Tunawafahamu zaidi wanamuziki wetu kwa nyimbo zao kali na majina yao, lakini tukumbuke nyuma yao kuna kazi kubwa sana imefanywa na producer mpaka mziki husika ukawa kama ulivyo. Man Water Shirko...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau wa kujirusha nataka kujua Club nzuri ya kula bata hapa dar. 1. Maisha Club 2. BillCana Club 3. Club 71 4. Coco Beach 5. Runway Au zipi? Nipeni mtonyo
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom