Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nilikuwa najiandaa nimpigie kula diamond kwenye tuzo za BET lakini baada ya kuona video ya show yake ya majuzi huko kwa malkia imenibidi nifikirie mara mbili.Je nimpigie kura kwa kuwa ni...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Powerjams now ,Kunauwezekano wimbo wa kiuno wa tid ukawa copy n paste kutoka zambia. Source:Sam Misago..EA Radio
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Wana JF nawaombeni kuelewa fasihi iliyotumika kwenye wimbo huu. "Mfanyakazi kaiba kuku jikoni kwa mfalme. Wenzake wakamsakama. Akaona heri ajisalimishe kwa mfalme na kuomba msamaha. Akasamehewa...
1 Reactions
28 Replies
8K Views
Kuna grp ipo whatsap kuhusiana na movies tu, i need active members. Kama umependa nichek 0659098486
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Your are here » Home » Pulse Gossip Singer Diamond demands for presidential suite and a first Class ticket By Pulse Writer Updated Friday, May 9th 2014 at 15:33 GMT +3 0 inShare...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
African Music Magazine Awards (AFRIMA) imetoa nominees wanaowania tuzo mbalimbali barani Africa! Kwa upande wa Tanzania wasanii waliochaguliwa ni pamoja na Diamond Platnumz (5 categories), Lady...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakubwa, mimi ni mpenzi wa kuangalia documentaries. Naomba kujua hapa Dar es Salaam naweza kupata wapi HD quality documentaries. Nikipita kwenye libraries nyingi nakutana na movies tuu, ila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Show ilifanyika jana saa 4 mpaka 12 ay&fa,jambo squad,prof.jay,WEUSI, walifunika balaa
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za saa hizi wanajamvi...nimeona sio vibaya jumamosi ya leo tukumbushane muziki wa zamani ambao ulipata kusumbua au kuwika enzi hizo uwe wa hapa nchini au nje ya nchi ilimradi uwe wa zamani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eti ni kweli kuwa mpenzi wa diamond wema sepetu ni mkubwa kuliko diamond au ni uzushi tu wa baadhi ya watu? Naomba mnisaidie wakuu!!!
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Na leo nimesikia wimbo wake wa kipi sijasikia ukipigwa clouds radio!! Kifupi huyu jamaa anaweza sana, mashairi yake yamejaa ubunifu, ujumbe, kuburudisha, jamaa ninamkubali sana tena sana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaanii tajwa ametoa wimbo mpya unaitwa Sitaki Kazi mwenye mashairi aweke hapa Verse 1 Uko wasiwasi mtu bila nafsi/ umeajiriwa shirika la mtu binafsi. Sina wasiwasi mtu mwenye nafsi/...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Tunawafahamu zaidi wanamuziki wetu kwa nyimbo zao kali na majina yao, lakini tukumbuke nyuma yao kuna kazi kubwa sana imefanywa na producer mpaka mziki husika ukawa kama ulivyo. Man Water Shirko...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau wa kujirusha nataka kujua Club nzuri ya kula bata hapa dar. 1. Maisha Club 2. BillCana Club 3. Club 71 4. Coco Beach 5. Runway Au zipi? Nipeni mtonyo
0 Reactions
11 Replies
3K Views
mbo umejaa matusi ya nguoni na KISS FM wanaupiga kila siku
0 Reactions
27 Replies
5K Views
(Kiswahili cha jirani...uelewe tu...) Wanawake to ndio wenye... 1. Atakua na simu kwa nyumba kidogo kidogo anakuambia umbeep ju hajui ameweka wapi!! Tuhurumie Baba 2. Ako na furushi la...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimeshuhudia mara kadhaa,wimbo wake wa TUPOGO,popote unapopigwa basi kama watu hawasimami kuucheza,utaona hata wenye aibu wanatingisha mabega au kugongagonga miguu,ni wimbo huko juu,kuanzia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naangalia TV Imaan. Wa nazungumza Kiswahili muruwa, nimpenda! ila nimegutushwa, Hawa watangazaji wamekaliwa mkeka, nikaanza kuwaza hivi nikienda pale Kwa mahojiano, intanibidi nijikunje kwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani waungwana, kama kuna mtu anaweza kunipatia hii album ya huyu jamaa, ni moja ya album za watanzania nilizozihusudu sana, ilikuwa na nyimbo kama : wasiwasi, ndani ya Love, buzi, etc kama kuna...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Ni mara yangu ya kwanza kuwa janvini, Nafundisha muziki baada ya saa za kazi. Nafundisha nadharia na vitendo. Nafundisha ala zifuatazo; piano, guitar, saxaphone...bei ni maelewano ingawa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom