Nilikuwa najiandaa nimpigie kula diamond kwenye tuzo za BET lakini baada ya kuona video ya show yake ya majuzi huko kwa malkia imenibidi nifikirie mara mbili.Je nimpigie kura kwa kuwa ni...
Wana JF nawaombeni kuelewa fasihi iliyotumika kwenye wimbo huu. "Mfanyakazi kaiba kuku jikoni kwa mfalme. Wenzake wakamsakama. Akaona heri ajisalimishe kwa mfalme na kuomba msamaha. Akasamehewa...
Your are here » Home » Pulse Gossip Singer Diamond demands for presidential suite and a first Class ticket By Pulse Writer Updated Friday, May 9th 2014 at 15:33 GMT +3 0 inShare...
African Music Magazine Awards (AFRIMA) imetoa nominees wanaowania tuzo mbalimbali barani Africa! Kwa upande wa Tanzania wasanii waliochaguliwa ni pamoja na Diamond Platnumz (5 categories), Lady...
Wakubwa,
mimi ni mpenzi wa kuangalia documentaries. Naomba kujua hapa Dar es Salaam naweza kupata wapi HD quality documentaries. Nikipita kwenye libraries nyingi nakutana na movies tuu, ila...
Habari za saa hizi wanajamvi...nimeona sio vibaya jumamosi ya leo tukumbushane muziki wa zamani ambao ulipata kusumbua au kuwika enzi hizo uwe wa hapa nchini au nje ya nchi ilimradi uwe wa zamani...
Na leo nimesikia wimbo wake wa kipi sijasikia ukipigwa clouds radio!!
Kifupi huyu jamaa anaweza sana, mashairi yake yamejaa ubunifu, ujumbe, kuburudisha, jamaa ninamkubali sana tena sana...
Msaanii tajwa ametoa wimbo mpya unaitwa Sitaki Kazi mwenye mashairi aweke hapa
Verse 1
Uko wasiwasi mtu bila nafsi/ umeajiriwa shirika la mtu binafsi.
Sina wasiwasi mtu mwenye nafsi/...
Tunawafahamu zaidi wanamuziki wetu kwa nyimbo zao kali na majina yao, lakini tukumbuke nyuma yao kuna kazi kubwa sana imefanywa na producer mpaka mziki husika ukawa kama ulivyo. Man Water Shirko...
Wadau wa kujirusha nataka kujua Club nzuri ya kula bata hapa dar.
1. Maisha Club
2. BillCana Club
3. Club 71
4. Coco Beach
5. Runway
Au zipi?
Nipeni mtonyo
(Kiswahili cha jirani...uelewe tu...)
Wanawake to ndio wenye...
1. Atakua na simu kwa nyumba kidogo kidogo anakuambia umbeep ju hajui ameweka wapi!!
Tuhurumie Baba
2. Ako na furushi la...
Nimeshuhudia mara kadhaa,wimbo wake wa TUPOGO,popote unapopigwa basi kama watu hawasimami kuucheza,utaona hata wenye aibu wanatingisha mabega au kugongagonga miguu,ni wimbo huko juu,kuanzia...
Naangalia TV Imaan. Wa nazungumza Kiswahili muruwa, nimpenda!
ila nimegutushwa, Hawa watangazaji wamekaliwa mkeka, nikaanza kuwaza hivi nikienda pale Kwa mahojiano, intanibidi nijikunje kwenye...
Jamani waungwana, kama kuna mtu anaweza kunipatia hii album ya huyu jamaa,
ni moja ya album za watanzania nilizozihusudu sana, ilikuwa na nyimbo kama
: wasiwasi, ndani ya Love, buzi, etc kama kuna...
Ni mara yangu ya kwanza kuwa janvini,
Nafundisha muziki baada ya saa za kazi. Nafundisha nadharia na vitendo.
Nafundisha ala zifuatazo; piano, guitar, saxaphone...bei ni maelewano ingawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.