Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Falling Skies jana imetoka season ya 4 Suits imeshafika season 4 episode 2 Grace land season 2 episode 2 Enjoy!
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Binafsi sio mpenzi wa filamu za kiswahili hasa kutoka Bongo movie,Nimebahatika kuitaza filamu hii ya kigodoro-kantangaze na kunifanya niamini ni moja kati ya filamu bora kabisa za kitanzania kuwai...
1 Reactions
50 Replies
14K Views
ni mtanzania anayeishi USA,,, asee dada Ana wimbo unaitwa tanzanite,,kiukweli sijaona wimbo mkali wa rnb kwa upande wa wanawake mwaka huu duniani kote,,,I'm sure na ninachokisema,naujua muziki...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana Jamii Forums,. Tafadhali naomba kufahamishwa kwa anayefahamu. Wimbo ambao upo katika background ya kipindi cha Diva The Boss Clouds Fm,. Na jina la wimbo tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Baada ya kimya cha Ally Kiba sasa Mtu na mdogo wake wakizifuata nyayo za Peter & Paul ama P Square, wameachia wimbo wao mpya 'Pita Mbele' kama kundi wakijiita 'Kiba Square... Kilichofanyika humo...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
wadau naobeni msaada wa link yoyote ambayo nitakuwa napakulia series mbali mbali, kama vile 24hrs naikosa kwa kuwa sina lik, au kwa msaada zaid naombeni program yoyote ambayo nikiipata na nika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
http://youtu.be/C38g4JBf2kI
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni mtazamaji mzuri wa startv hasa saa za mchana. Kinachoniudhi ni mtindo uliozuka hivi karibuni wa kurudiarudia vipindi fulani ambavyo havina umuhimu wa kurudiwa kila siku.Vipindi hivyo ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
et ule mwimbo wa ''pain in me'' wa Emmanuel Nkulila nnaweza upata wap?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nyimbo ya samba mapangala naitafuta nimeenda google chenga tupu msaada please.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mimi sio mfuatiliaji sana wa miziki ya kileo, lakini kuna nyimbo mbili zimetokea kunigusa sana ktk maudhui, uimbaji, na upigaji wa vyombo. Nyimbo hizo mbili ukizisikiliza utajua kuwa mtunzi na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wadau kuna hivi vyombo viwili vinavyousika na wasanii waigizaji ambavyo ni Bongo Movie na Shirikisho la filamu. ningependa kujua vyombo hivi viwili vina utofauti upi?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hey guys natafuta group inayozungumzia mambo ya muvi na series, my whatsapp # is +255762243055
0 Reactions
0 Replies
794 Views
eti hawa ndo warembo wanaoshiriki miss iringa!huenda miss Tanzania akatokea kwenye kundi hili...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Msaada kwa aliyenao. Nimeshautafuta sana..
0 Reactions
2 Replies
9K Views
habar wana jf nyimbo ya happy and happy kaimba nan ipo kama ya kwaito afu wana rap
0 Reactions
15 Replies
5K Views
dah!.hili shindano inaonekana kuwa zuri kweli kweli. updates zote tupeane hapa.
0 Reactions
1 Replies
990 Views
Mkali wa miondoko ya RnB kutoka Rock City,Mwanza 'Future Jnl' amerudi tena kwenye spika zako na single moja hatari "Crazy" akiwa peke yake kuonyesha zaidi uwezo wake katika muziki. Hebu chukua...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimeangalia movies na Tv series nyingi japo sio sana ila nimegundua kuwa Africa kuna location nyingi sana za kufanyia movies, hata stories na matukio yanayotokea na yaliyowahi kutokea nchi za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nashindwa kuamini haya maneno, kwa waliowahi kumuona naomba wanithibitishie tafadhali
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom