Mimi sio mfuatiliaji sana wa miziki ya kileo, lakini kuna nyimbo mbili zimetokea kunigusa sana ktk maudhui, uimbaji, na upigaji wa vyombo. Nyimbo hizo mbili ukizisikiliza utajua kuwa mtunzi na mwimbaji ni mmoja, nazo ni Isabela [Usilie], na Nani kama mama.
Wadau naomba mnibandike hizo nyimbo hapa, pia mniambie jina la mtunzi na hiyo bendi inaitwaje.
Balantanda na wadau wengine msaada pls.
Wadau naomba mnibandike hizo nyimbo hapa, pia mniambie jina la mtunzi na hiyo bendi inaitwaje.
Balantanda na wadau wengine msaada pls.