SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,278
Mimi ni mtazamaji mzuri wa startv hasa saa za mchana. Kinachoniudhi
ni mtindo uliozuka hivi karibuni wa kurudiarudia vipindi fulani ambavyo havina
umuhimu wa kurudiwa kila siku.Vipindi hivyo ni:
1.Kilimo cha kahawa. Katika kipindi hiki wanaonekana wakulima wa kahawa Bw. Simplis Salakana
na Mama Nyaki wakilalamikia kilimo hiki.Kila siku mchana lazima waoneshe!
2.Ugumu wa uvuvi wa samaki mto Kilombero.Kila siku!
3. Matibabu ya mtoto wa jicho.
Nawauliza startv, hivi vipindi vina umuhimu gani wa kurudiwa kila siku? Mnachosha sana jamani,pengine hamjui hilo.
ni mtindo uliozuka hivi karibuni wa kurudiarudia vipindi fulani ambavyo havina
umuhimu wa kurudiwa kila siku.Vipindi hivyo ni:
1.Kilimo cha kahawa. Katika kipindi hiki wanaonekana wakulima wa kahawa Bw. Simplis Salakana
na Mama Nyaki wakilalamikia kilimo hiki.Kila siku mchana lazima waoneshe!
2.Ugumu wa uvuvi wa samaki mto Kilombero.Kila siku!
3. Matibabu ya mtoto wa jicho.
Nawauliza startv, hivi vipindi vina umuhimu gani wa kurudiwa kila siku? Mnachosha sana jamani,pengine hamjui hilo.