vikosi makuruti
Senior Member
- Apr 3, 2014
- 192
- 68
ni mtanzania anayeishi USA,,,
asee dada Ana wimbo unaitwa tanzanite,,kiukweli sijaona wimbo mkali wa rnb kwa upande wa wanawake mwaka huu duniani kote,,,I'm sure na ninachokisema,naujua muziki,
kwa aliyeusikia unapigwa sana eastafrica radio ataelewa,,,
NAOMBENI MWENYE NAO ANITUMIE WADAU,,TAFADHALI SANA
asee dada Ana wimbo unaitwa tanzanite,,kiukweli sijaona wimbo mkali wa rnb kwa upande wa wanawake mwaka huu duniani kote,,,I'm sure na ninachokisema,naujua muziki,
kwa aliyeusikia unapigwa sana eastafrica radio ataelewa,,,
NAOMBENI MWENYE NAO ANITUMIE WADAU,,TAFADHALI SANA