Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Oneclicktz inakupa nafasi popote ulipo duniani kusikiliza nyimbo mpya kutoka tanzania ukiwa online. kusikiliza bofya apa Oneclick Tz
0 Reactions
0 Replies
5K Views
'Humolaga Mayu' ni neno la lugha ya kisukuma lenye maana ya 'Nyamaza Mama' kwa hiyo katika video hii bob Haisa anaonekana akimubembeleza mwanamke aliyepo katika Majonzi.Bonyeza hapaBob Haisa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wana members. naomba kujua kutoka kwenu filam zinazofaaa kwa watoto katika familia Tafadhali taja uzijuazo ili tukuze familia zenye maadili na utashi wa kufikilia positively sio hizi filam za...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
This is a must watch movie Traitor - Don Cheadle
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Wakuu, Jana Naibu waziri wa utamaduni na Michezo Bwana Nkamia alitumia muda kidogo kuelezea ni jinsi gani sisi wa Tanzania Kiswahili kinatutoa kuliko Wenzetu wa Africa. Natoa Mfano mdogo sana...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wasalaam, nianze kwa kusema tu kwamba nyimbo za huyu mtumishi hunibariki sana pindi nizisikilizapo. Najua ametoa albam nyingine baada ya kuachia YEHOVA YU HAI, lakini katika pita pita zangu kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
inaimbwa hivi vunja mifupa bado meno ipo..........
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mambo niaje waheshiwa, kwa anayejua location ya BONGO RECORDS plz naomba anielekeze...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
guys kuulza si ujinga eti hua naskia ma redio presenter wengi husema mfano leo dknob kaachia kichupa chake kipya.Huwa wana maana gan!
1 Reactions
8 Replies
5K Views
http://youtu.be/gXQ6tycB290
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Wednesday, May 28, 2014 Mint 1951 Rolls Royce leads strong Concours field...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wednesday, May 28, 2014 Mint 1951 Rolls Royce leads strong Concours field...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wednesday, May 28, 2014 Mint 1951 Rolls Royce leads strong Concours field Rajesh Anil...
0 Reactions
0 Replies
707 Views
habari za leo wanajamvi! wakati nakuwa nilitokea kuzipenda mno hizi tamthiliya mbili ambazo zilikuwa zikioneshwa itv. Kwa bahati mbaya zilikatishwa kuoneshwa njiani na kwa muda ule nisingeweza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natafuta mzamini
0 Reactions
9 Replies
3K Views
wana jf msaada jaman naitaji wimbo wa abduli misambano asumin maana nimejaribu kuudownload cjaupata plz mwenye nao anaweza kunipa kupitia whatsapp no 0689439271 asanteni!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwenye mitandao ya kijamii nimeiona hii YOU TUBE akielezea dhana ya hiyo nyimbo 'Staki Kazi': http://t.co/Y9xMpo4CTr nimemuelewa sana. Najiuliza uyu dogo si nasikiaa ana Masters alafu hataki...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
Hili ni kundi la mziki wa Hip Hop, likijumuisha wasanii kutoka Arusha Joh Makini, Nikki wa II, G Nako, Bonta na Lord Eyes ( amesimamishwa kwa muda). Ni kundi ambalo kwa sasa liko juu sana hasa...
0 Reactions
62 Replies
21K Views
Eeh, sijakosea. Tabata kuna beach nzuri such that haina haja ya kwenda Coco tena. Baada ya hizi mvua za mafuriko kwisha, 'Mto Tabata' umetengeneza 'fukwe' nzuri zenye mchanga kama beach za bahari...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
vipi muziki wa bongo mastar ni walewale wa kila siku? ma dj wa radio station inueni vijana wetu chipkizi, msiamini majina ya studio kubwa na wasanii wakubwa kama wao ndio wakali zaidi no! kuna...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom