One, two, three and to the fo'
Snoop Doggy Dogg and Dr. Dre are
at the do'
Ready to make an entrance, so back
on up
(Cause you know we 'bout had to rip
shit up)
Gimme the microphone first...
Kwa muda mrefu tumekuwa tukisikia aina moja ya muziki hapa Bongo
Leo Producer Lamar kaintroduce aina mpya ya muziki hapa bongo, kaleta kitu wanachofanya kina David Gueita, ni muziki wa kupigwa...
Nauliza ile nyimbo inatoka lini,nliona clip tu wakat wanaingiza vocals nikaipenda ss naona muda unaenda tu nyimbo haitoki.Kwa anayejua inatoka lini anambie nna hamu nayo sana.
Wale wapenzi wa country kwa ambao hawakuwa wanajua babu mzoefu Kenny Rogers ana album mpya inaitwa U can't make old friends, iko njema sana kama kawaida yake. Itafuteni iwapunguzie stress.
Kwa wale wanaomfaham huyu dogo album yake mpya inaitwa storyline imeshaanza kapatikana, kwa wanaomfatilia waipakue waenjoy vocals adimu. Kama humjui huyu dogo anaimba country ila yupo vzr
Fid Q ft Juma
Nature (verse1):Fid Q
Nilipotoka mbali na
ninaheshimu nilipo
sikuwa na umuhimu kihivyo
stimu zikanipa elimu ya Biko
Kimaandiko kimistari..
hadi fans wanascream nikirap...
The platinum ubarikiwe Ma hommie Wa kwap Leo waliokuimba dadamond.. Nahisi wote wamekuwa madadamond wao.awazalomjinga limemtokea Mbwiga ...wangesoma nyakat wasingethubutu Maj kupwaa Maji kujaa.ya...
Katika kile kipindi cha BANGO kinachorushwa na TBC ambacho kinahusu kuwakumbuka watu waliofariki kuna wimbo
huwa unaambatana na tukio hilo la kuwakumbuka wanzetu waliokwisha aga dunia, huu wimbo...
Usiku wa tuzo za muziki kwa wasanii wetu wa hapa nyumbani killi music awards kikwetukwetu ulipambwa na wasanii na makundi mbali mbali ya kuimba na kudance licha ya 'joto' lililokuwapo la nan...
01; Majuto
02; Kiwewe
03; Joti
04; Massawe
05; Masanja
06;..........
mtaje wa kwako kama hapo hayupo,kati yao,unamkubali nani zaidi?!,tumpate mkali wa komedi
Ndugu wadau naomba yeyote ambaye anaweza kinisadia nikata nyimbo zilizotumbuizwa na wasanii wa kike waliokuwa wakiimba nyimbo za wasanii wa kiume kwenye kili mulsic awards.Hasahasa ile aliyoimba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.