Anayeweza kuwaleta bongo LIL WAYNE, EMINEM

Anayeweza kuwaleta bongo LIL WAYNE, EMINEM

Magnificient

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
1,177
Reaction score
734
Habari jamani! Ni miaka sasa bongo yetu imekuwa ikitembelewa na watu maarufu sana duniani wakiwemo wanasiasa, wasanii, wanamichezo n.k kupitia udhamini wa watu,makampuni na mashirika mbalimbali.

Hoja yangu leo ni kuhitaji aletwe lil wayne na eminem, au ikishindikana basi hata mmoja kati yao.

Nina imani watatusaidia sana kupata uhondo mkubwa na kufungua channel zingine na kupaisha nchi yetu.
 
Ukisema clouds media utaona watakavyokuja mbio huku povu likiwatoka na matusi juu ngoja waje....
Loading......
 
Ukimleta lil wayne na nick awepo please. Wakiwa wote wanapendeza sana kwa stage. Tatizo hata wakija timetable wanapangiwa kuperforme saa kumi usiku inaniboaga kweli.
 
Yamiko'

Alafu wakimleta huyo lil wyne wasimuache Nick minaj' maana naona kama wanafanya vizuri sana wakiwa stage moja!!!

Dah aiseee kweli! Nick naye, drake waje tu
 
wamlete kwanza MR BEAN
Haa haa haaaaa..... show ya Mr. Bean hata ikiwa muda wa kazi nitaacha kazi nikaangalie. Jamaa kajitolea kuchekesha, kaacha fani yake ya engineering sasa anapiga pesa kule
 
Back
Top Bottom