pig man
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 292
- 319
Wadau hope mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku, kwa yeyote mwenye mixtape yeyote ya DJ JD tafadhali naomba aniwekee hapa. Jamaa ni mkali sana kwenye disco joking.
Nakumba kipindi cha miaka ya 1999 kwenda 2004 alikuwa akitoa mixtape zilikuwa zinaenda kwa jina la jd's explosions mixtapes.
Please kwa yeyote mwenye mixtape ya huyu jamaa aitupie hapa tujikumbushe kwa burudani maana hawa madj wa siku hizi hawana lolote kabisa.
Nakumba kipindi cha miaka ya 1999 kwenda 2004 alikuwa akitoa mixtape zilikuwa zinaenda kwa jina la jd's explosions mixtapes.
Please kwa yeyote mwenye mixtape ya huyu jamaa aitupie hapa tujikumbushe kwa burudani maana hawa madj wa siku hizi hawana lolote kabisa.