Habari jamani! Ni miaka sasa bongo yetu imekuwa ikitembelewa na watu maarufu sana duniani wakiwemo wanasiasa, wasanii, wanamichezo n.k kupitia udhamini wa watu,makampuni na mashirika mbalimbali...
poleni na majukumu ya kimaendeleo nnapata shida sana katika hili ebu na nyie mnipe ufahamu wenu basi kwa anayejua lkn naomba uniorozeshee wasanii wa kumi wa kwanza kurikodi muziki wa kizazi...
kama kuna mtu ana wimbo wa diamond musica unaitwa neema.
Nashangaa na maneno yakoo, umekua kigeugeuu, aaah neema aah
naomba mnisaidie plz
na wimbo mwingine wa vijana jazz nadhani unaitwa...
Wakuu, nimekuta taarifa za kusikitisha kwa Watanzania wengi na mashabiki wengine wa msanii nguli wa mziki wa kizazi kipya Diamond. Je kukosa kwake tuzo hizi ni kutotendewa haki kwa msanii huyu? Je...
1. Kwanza hakuna cha uzalendo wala nini, Diamond anafanya hayo kwa faida yake mwenyewe, genge lake na wanawake wake.
Vinginevyo angekabidhiwa bendera ya taifa.
2. Diamond angeshinda, angekua...
Hapo Chidi Benz akiwa kashikiwa bangi na Shabiki wake na kutoa kibiriti cha gesina kuiwasha kama unavyoona hapo
Chini benz Jana Jumapili wakati anafanya show New maisha Club Dodoma alifanya...
Msanii gani mdogo amegandamizia hii ngoma ya kwake Noel Ngiama Makanda Werrason kiasi kwamba sasa hivi anaonekana kuwa ni balaaaaaaaaaa!
02 Werrason - Libala - YouTube
We clawed, we chained our hearts in vain
We jumped never asking why
We kissed, I fell under your spell.
A love no one could deny
Don't you ever say I just walked away
I will always want you
I...
Nimejaribu kufananisha mapresenter wa vpnd mbalimbali na live show,ila kwa mtazamo wangu nimeona station ya EATV na EA RADIO ndo inaongoza, ukianza na Dullah, SamMsagi, na T bway,
Sijui mtazamo...
Bnafs nilijua kjana hawez tunisha msuli kwa bro Ake Davido alieutia kick remix yake ilhal kaondoka bongo naa ujumbe wa watu wengi kulko hata kawaida...magazet pendwa yanakawaida ya kusifia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.