Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hawa vijana wa yamoto band wana vipaji si mchezo. Nimezisikia nyimbo zao tatu, haina ubishi wapo vizuri. Kinachonivutia zaidi ni vijana wa umri mdogo kama wakiweka juhudi hivi hivi na wasipo...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Ukizungumzia muziki wa karne ya 20 huwezi maliza au kueleweka bila kuwataja Michael jackson na Elvis Presley...Je kati ya hawa wasanii wawili yupi alikuwa zaidi ya mwenzake??
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Movie yoyote lazima ipitie hatua tano: 1. Development: Hapa ni hatua ya kwanza: Uvumbuzi wa wazo/kisa, ununuzi wa hakimiliki ya idea, Uandishi wa Script na pia pia lazima ijulikane pesa za...
4 Reactions
10 Replies
9K Views
Kama inatokea kuna show inapigwa kwa siku moja na sehemu tofauti,kati ya show ya diamond platnum na show ya ally kiba ipi ungependa kuhudhuria
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamvi, kwa anayekumbuka muziki wa kina Pepe Kalle na Wenge Musica BCBG nadhani vibao hivi viwili vitamsuza roho, pia Kwa Pepe Kalle anakaribia kutimiza miaka 16 tangu afariki. Sio mbaya...
1 Reactions
3 Replies
7K Views
Wanajamvi,inasikitisha kabisa kuona muziki wa dansi umesahaulika na kusababisha kufa kabisa. Miaka ya 1980 tulikuwa na bendi nyingi na walipiga miziki mizuri yenye ujumbe murua kwa jamii, kama...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Papa likambo likambo oh likambo té Tovandi na ndako yo okangeli nga elongi esali ngai pasi esengeli nayeba nabengi yo na chambre po tosolola namemi ndé ngambo ehh(x2) ofingi fingi ngai eh pé...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kama una muda wa free na huna cha kufanya tafuta series inaitwa GRACELAND hutajuta.
0 Reactions
31 Replies
3K Views
WanaJF, Nauliza hivi ule wimbo ni wa dini au? Nilivyousikia kwa mara ya kwanza nikadhani ni Bony Mwaitege kaja na part-2 ya "Mama ni mama" kabla ya kugundua kuwa ni sauti laini ya Papa Bello...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Usiku wa Jumamosi Agosti 30, 2014, majira ya saa 10 alfajiri, mwanamuziki nyota wa Bongo Flavor, Nasib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na Polisi...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
African Countries With The Most Beautiful Women
0 Reactions
0 Replies
900 Views
kwa anayefahamu SERIES arrow itaendelea kutoka lin?
0 Reactions
1 Replies
996 Views
Rejea kichwa cha habari! Wako wapi wabongoflavor hawa? Raha P Kali P aka Kali popote Dan McMamo Ismael Fatuma (dada wa hard mad) Pauline Zongo Pingu - Deso Dogo Hamidu Mr Paul Mika Mwamba...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa wale wafuatiliaji wa Drama za Kikorea, vipi season ya 5 ya drama hii imekwishatoka?
0 Reactions
39 Replies
10K Views
Wadau mnawakumbuka hawa jamaa ? binafsi nilikuwa nawakubali dizaini kama game wamesanda maana cku hizi siwaskii
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ufunguzi wa ofisi mpya nchini Jamaica unakuja ikiwa hata mwaka mmoja haujapita toka Clouds Media International ilipofungua ofisi zake Abu Dhabi. Mkurugenzi mtendaji wa Clouds Media, Joseph Kusaga...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Waungwana kwa wale wanaofanya kazi za kuajiriwa. Nafikiri majungu kazini tumeshakutana nao. Wimbo huu hunikumbusha mbali hasa pale kwa mzee Ngurumo nipo lindi nachapa kazi, hakuna majungu wala...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifatilia bongo movie kabla na baada ya kufariki kwa msanii alokubalika zaidi ndani na nje ya nchi, kulikuwa na ushindani wa hali ya juu kati ya Steven Kanumba(R.I.P) na Vicent Kigosi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
The night full of drama...this was one hell of an event! Great music by Diamond Platinumz ...great red carpet looks...and of course, enough love drama that got the whole of Mlimani City hall...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Huyu msanii ni kutoka Uganda, video zake zote ni full ngono.kuanzia swiming pool,farm,china,best man na sasa kaachia moja inaitwa sauna hakika weka mbali na watoto,ukikutwa unaitazama ndoa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom