Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Rap mogul Marion "Suge" Knight shot multiple times after pre-VMA party hosted by Chris Brown. "Shots rang out at 10AK night club in West Hollywood at around 1:30 Sunday...and Suge Knight was...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Enzi hizo RTD kabla ya taarifa ya habari kunakuwa na ujumbe kama huu: Moyo wangu unadunda, usiku na mchana unagonga, uwe macho au usingizini moyo huu uko kazini. Unafanya kazi bila kusita...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kipindi kinaendeshwa na clouds TV. Nimebahatika kuangalia japo kidogo kipindi hiki na kuona hakina maudhui mazuri vilevile wale vijana au sijui ni majaji wanawauliza bibi zetu maswali ya...
2 Reactions
78 Replies
10K Views
Wadau mie ni mmoja kati ya wapenzi wa nyimbo nzuri za bongo flava... Ila kidogo nimepata shida sana pindi ninapokuwa ninaisikiliza nyimbo ya Bambam... Sijaelewa tatizo ni kuwa sijaelewa ile lugha...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Your are here » Home » Features The drama and twists threatening to separate Tanzania's most celebrated couple By John Lawrence Updated Monday, August 25th 2014 at 14:40 GMT +3 0 inShare...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Msanii diamond ameibuka tena mshindi wa tuzo zilizofanyika nchini Burundi,kwa kushinda nyimbo bora Afrika mashariki kupitia nyimbo yake bora kabisa(my number one) CV...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari Wadau . Kwa wale wapenda movie/series. Je ni series gani nzuri naweza kuangalia yenye mashiko ,kusimumu zaidi kusikitisha ,na iwe ya ukweli ,yaani iwe imebase kwenye reality story ! ...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Nafurahi sana ninapoona filamu za kitanzania zikizidi kupata umaarufu ndani na nje ya nchi. Siku hizi filamu nyingi za kibongo zinawekwa 'subtitles' za Kiingereza ili kuongeza uelewa katika lugha...
0 Reactions
0 Replies
998 Views
Hivi ni mimi tu ninayedhani ushepu wa huyu kipusa unahusika? Halafu sidhani kabisa kama kuna hata chembe ya viambato bandia hapo. Nadhani kila kitu ni asilia. The Boss hebu nipe mkataa wako -...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
watu wengi wale waze wa umri wangu wamekuwa wakijichanganya kidogo kuhusu wimbo wa kata ya maji ukweli wakidhani umepigwa na ddc mlimani park ukweli umepigwa na orchestra safari sound oss
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Nini maoni ya wadau wa muziki wa zamani kuhusu kipindi hiki? Natumaini mawazo yenu yatawasaidia Isaac Gamba na Rajab Zomboko kukiboresha.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Siku ya jumamosi TANESCO wakijisahau ni burdan haswa. Anzia TBC FM saa kumi na moja alfajiri na KAVASHA mpaka saa tatu asubuhi. Pumzika mpaka saa tano asubuhi kwenye Radio One utakutana na MTAA WA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar za majukum wadau, wakubwa wang samahan nahtaj msaada kwa anae faham kuhsu taratbu za kuintroduce ngoma mpya kwenye radio stations especially clouds fm, kama kunagharama yoyote au...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamvi wenzangu. Leo nimeona nije na hili. Nataka kujua track ipi hapo juu inabamba sana kuanzia kiitikio,kughani na mashairi. Karibuni sana
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wajameni,nimekuwa nikifatilia tungo nyingi za wasanii wa bongo fleva na taarab,swali nnalojiuliza kila mwimba bongofleva ametendwa au ameachwa huku wenzao wa taarabu wao ni kuonewa...
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Fiesta imeandaliwa chini ya uzamini wa bia ya Serengeti (SBL) na Kili Music Tour imedhaminiwa na bia ya Kilimanjaro (TBL). Wote wanafanya kazi nzuri kwa wasanii wetu, na inawapa ajira na kipato...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuu poleni na majukum ya kila siku. Leo naona kila mmoja atueleze kibao cha bendi au mwanamuziki wa zamani kilivomuingia moyoni na ukiusikiliza wimbo huo unakumbuka nini Mimi nakumbuka kibao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wapenzi wa burudani na wanazi wa tamasha la Burudani lililopewa Jina la Serengeti Fiesta linalotarajiwa kufanyika katika uwanja wa Kaitaba kesho ijumaa,wamepigwa na butwaa baada ya mastaa kibao...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
kiukweli ukiniuliza msanii bora wa r&b basi huyu jamaa anafaanya vizuri sana, Tokea wimbo wa nikikupata, maneno maneno, waubani.. kama haujapata kusikiliza wimbo wake mpya wa Unanichora basi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom