Rap mogul Marion "Suge" Knight shot multiple times after pre-VMA party hosted by Chris Brown.
"Shots rang out at 10AK night club in West Hollywood at around 1:30 Sunday...and Suge Knight was...
Enzi hizo RTD kabla ya taarifa ya habari kunakuwa na ujumbe kama huu:
Moyo wangu unadunda,
usiku na mchana unagonga,
uwe macho au usingizini
moyo huu uko kazini.
Unafanya kazi bila kusita...
Kipindi kinaendeshwa na clouds TV.
Nimebahatika kuangalia japo kidogo kipindi hiki na kuona hakina maudhui mazuri vilevile wale vijana au sijui ni majaji wanawauliza bibi zetu maswali ya...
Wadau mie ni mmoja kati ya wapenzi wa nyimbo nzuri za bongo flava...
Ila kidogo nimepata shida sana pindi ninapokuwa ninaisikiliza nyimbo ya Bambam... Sijaelewa tatizo ni kuwa sijaelewa ile lugha...
Your are here » Home » Features The drama and twists threatening to separate Tanzania's most celebrated couple By John Lawrence Updated Monday, August 25th 2014 at 14:40 GMT +3 0 inShare...
Msanii diamond ameibuka tena mshindi wa tuzo zilizofanyika nchini Burundi,kwa kushinda nyimbo bora Afrika mashariki kupitia nyimbo yake bora kabisa(my number one)
CV...
Habari Wadau .
Kwa wale wapenda movie/series.
Je ni series gani nzuri naweza kuangalia yenye mashiko ,kusimumu zaidi kusikitisha ,na iwe ya ukweli ,yaani iwe imebase kwenye reality story ! ...
Nafurahi sana ninapoona filamu za kitanzania zikizidi kupata umaarufu ndani na nje ya nchi. Siku hizi filamu nyingi za kibongo zinawekwa 'subtitles' za Kiingereza ili kuongeza uelewa katika lugha...
Hivi ni mimi tu ninayedhani ushepu wa huyu kipusa unahusika?
Halafu sidhani kabisa kama kuna hata chembe ya viambato bandia hapo. Nadhani kila kitu ni asilia.
The Boss hebu nipe mkataa wako -...
watu wengi wale waze wa umri wangu wamekuwa wakijichanganya kidogo kuhusu wimbo wa kata ya maji ukweli wakidhani umepigwa na ddc mlimani park ukweli umepigwa na orchestra safari sound oss
Siku ya jumamosi TANESCO wakijisahau ni burdan haswa. Anzia TBC FM saa kumi na moja alfajiri na KAVASHA mpaka saa tatu asubuhi. Pumzika mpaka saa tano asubuhi kwenye Radio One utakutana na MTAA WA...
Habar za majukum wadau, wakubwa wang samahan nahtaj msaada kwa anae faham kuhsu taratbu za kuintroduce ngoma mpya kwenye radio stations especially clouds fm, kama kunagharama yoyote au...
Habari zenu wanajamvi wenzangu. Leo nimeona nije na hili. Nataka kujua track ipi hapo juu inabamba sana kuanzia kiitikio,kughani na mashairi. Karibuni sana
Habari wajameni,nimekuwa nikifatilia tungo nyingi za wasanii wa bongo fleva na taarab,swali nnalojiuliza kila mwimba bongofleva ametendwa au ameachwa huku wenzao wa taarabu wao ni kuonewa...
Fiesta imeandaliwa chini ya uzamini wa bia ya Serengeti (SBL) na Kili Music Tour imedhaminiwa na bia ya
Kilimanjaro (TBL). Wote wanafanya kazi nzuri kwa wasanii wetu, na inawapa ajira na kipato...
Wakuu poleni na majukum ya kila siku.
Leo naona kila mmoja atueleze kibao cha bendi au mwanamuziki wa zamani kilivomuingia moyoni na ukiusikiliza wimbo huo unakumbuka nini
Mimi nakumbuka kibao...
Wapenzi wa burudani na wanazi wa tamasha la Burudani lililopewa Jina la Serengeti Fiesta linalotarajiwa kufanyika katika uwanja wa Kaitaba kesho ijumaa,wamepigwa na butwaa baada ya mastaa kibao...
kiukweli ukiniuliza msanii bora wa r&b basi huyu jamaa anafaanya vizuri sana, Tokea wimbo wa nikikupata, maneno maneno, waubani.. kama haujapata kusikiliza wimbo wake mpya wa Unanichora basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.