Kijana anayefanya vizuri kwenye tasnia ya muziki hapa bongo diamond hivi sasa ukitaka kwenda kwenye show yake huna budi kumwaga miekundu mitano(50,000) hii ni bada ya kuweka ujumbe kupitia mtandao...
No.
Matches
Times
1
Rob Van Dam defeated Cesaro
8:05
2
Dolph Ziggler defeated The Miz
7:52
3
Paige defeated AJ Lee
4:57
4
Rusev (with Lana) defeated Jack Swagger...
kwa wapenzi woote wa music wa Diamond..kaa tayari kwa video ya wimbo mpya kabisa wa diamond..video inayorecodiwa nje kabisa ya Africa mashariki
kwa maandalizi yanayofanywa inatalajiwa kuwa aiana...
Wazima wana jamvi? Linapokuja swala la nyimbo za mapenzi wengi hutaja R'n'B na Pop kuwa ndo kuna nyimbo nzuri za mapenzi. Je umeshasikiliza nyimbo za hawa watu kwenye muziki wa country?
Je...
Msanii R.O.M.A mkatoliki a.k.a Ninja amedondosha bonge la track kwa jina la Maumivu akimshirikisha msanii Bob Junior na ndie producer wa wimbo huu toka sharobaro Record. Wimbo umetambulishwa siku...
"Wapendwa mashabiki wangu na wapenzi wa miduara kwa ujumla nifursa nyingine naitumia kutekeleza ahadi yangu kwenu ya kukupatieni ngoma mpya kila tarehe 15 ya kila mwezi.Leo hii nadondosha mduara...
Wanajamii naomba msaada mnipe link ya kupakua hii series ya kikorea ya Swallow the sun ikiwa na english subtitle.
Maana nimetafuta bila ya mafanikio,nimeingia hadi kwenye torrents hola au unakuta...
Historia ya mwanamziki maarufu Diamond kabla hajafikia umaarufu wa sasa unaijua? Kama huijui isikilize hapa Mwanamziki Kide akiielezea kwa njia ya wimbo.
<br>
Umofia Kwenu wana JF,
Msanii aliyetamba miaka ya 2005 na kundi la Nako 2 Nako lord eyes amegongesha taya na watangazaji wa E.A radio kupitia segment ya Nyunyuzi kwamba next week anaachia ngoma...
Nimekaaa nimemfatilia sana huyu jamaa bado simuelewi elewi mpaka sasa,unashangaa anatoa video kali sanaaa na yeye ndio mwenye wimbo ila kwenye huo wimbo sioni anachoimba au mimi ndio sijui mziki...
Nimeusikiliza huu wimbo mpya wa Mpoto Kwa kweli ni ujumbe muhimu sana unaotakiwa kumfikia Rais. Kama bado hujausikia bofya hapa chini
http://m.youtube.com/watch?v=3OZF1yr41Sw
Hamjambo kila mtu ! I like this Tanzanian song called "Vifuu Tundu" : https://www.youtube.com/watch?v=v3OJJRnnsQs Could some one help me by writing the lyrics down, please ? Nimeanza kusoma...
Tukiwa tukijiandaa na W.end Kesho unawenza kuandaa vitu vyako safi na murua.
Series hizi ni mpya pia ni nzuri sana.
1. Tyrant hii imefikia epsode 1-8
2.Extant hii ipo 1-6
3. Dominion 1-7...
Kuna msanii wa kike sijui ni Mkongo ama vipi lakini huimba kilingala anaitwa Ayila, ana sauti nzuri sana nilipata kuziona nyimbo zake Clouds Tv wakati iko kwenye majaribio ya kuruka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.