WanaJF,
Nauliza hivi ule wimbo ni wa dini au?
Nilivyousikia kwa mara ya kwanza nikadhani ni Bony Mwaitege kaja na part-2 ya "Mama ni mama"
kabla ya kugundua kuwa ni sauti laini ya Papa Bello...
Usiku wa Jumamosi Agosti 30, 2014, majira ya saa 10 alfajiri, mwanamuziki nyota wa Bongo Flavor, Nasib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na Polisi...
Rejea kichwa cha habari!
Wako wapi wabongoflavor hawa?
Raha P
Kali P aka Kali popote
Dan McMamo
Ismael
Fatuma (dada wa hard mad)
Pauline Zongo
Pingu - Deso
Dogo Hamidu
Mr Paul
Mika Mwamba...
Ufunguzi wa ofisi mpya nchini Jamaica unakuja ikiwa hata mwaka mmoja haujapita toka Clouds Media International ilipofungua ofisi zake Abu Dhabi.
Mkurugenzi mtendaji wa Clouds Media, Joseph Kusaga...
Waungwana kwa wale wanaofanya kazi za kuajiriwa. Nafikiri majungu kazini tumeshakutana nao. Wimbo huu hunikumbusha mbali hasa pale kwa mzee Ngurumo nipo lindi nachapa kazi, hakuna majungu wala...
Nimekuwa nikifatilia bongo movie kabla na baada ya kufariki kwa msanii alokubalika zaidi ndani na nje ya nchi, kulikuwa na ushindani wa hali ya juu kati ya Steven Kanumba(R.I.P) na Vicent Kigosi...
The night full of drama...this was one hell of an event! Great music by Diamond Platinumz ...great red carpet looks...and of course, enough love drama that got the whole of Mlimani City hall...
Huyu msanii ni kutoka Uganda, video zake zote ni full ngono.kuanzia swiming pool,farm,china,best man na sasa kaachia moja inaitwa sauna hakika weka mbali na watoto,ukikutwa unaitazama ndoa...
South Africa zimetangazwa awards za ma dj bora katika vipengele tofauti, kitu cha ajabu ni kuwa hakuna dj wa bongo hata mmoja.
Dj anae shikiria taji kwa Tanzania ni dj MULI B wa clouds fm.
Swali...
Her lavish spending habits, jealousy over his ex-girlfriends and disagreements on raising their twins: Inside Mariah Carey and Nick Cannon's marriage breakdown
By Eleanor Gower for MailOnline...
Hasheem Thabeet traded to 76ers, but will be waived, per report
Prior to the deal, Oklahoma City was about $1.4 million below the luxury tax line. That number now stands at nearly $2.7 million...
Msanii bora wa muziki wa Reggae na Ragga Tanzania, DABO amepata nafasi ya kuipeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa, baada ya kuchaguliwa kuwania tuzo kubwa kabisa za muziki za...
Nimeona sio mbaya kama na mimi leo nikapost changu.
Tanzania tuna wasanii wengi mno ila huyu dogo ni zaidi. But ni kwa upande wa RnB.
Wadau hebu tumpe sapport click hapa kutazama video yake...
Hip hop inatafsirika au unaweza kuiita ni maisha halisi haijalishi wapi ulipo jinsia yako wala rangi yako.
Chimbuko la Hip hop linaweza
kufafanuliwa kwa kifupi kama juhudi za wasiojiweza...
Wabongo tunajua sana ku-copy na ku-paste!
Ona mifano hii kutoka tasnia mbalimbali, ruksa na wewe kuongezea alie-copy na ku-paste:
Daz BABA: Huyu ni memba wa lililokuwa kundi la DAZ Nundaz. Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.