Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kama una muda wa free na huna cha kufanya tafuta series inaitwa GRACELAND hutajuta.
0 Reactions
31 Replies
3K Views
WanaJF, Nauliza hivi ule wimbo ni wa dini au? Nilivyousikia kwa mara ya kwanza nikadhani ni Bony Mwaitege kaja na part-2 ya "Mama ni mama" kabla ya kugundua kuwa ni sauti laini ya Papa Bello...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Usiku wa Jumamosi Agosti 30, 2014, majira ya saa 10 alfajiri, mwanamuziki nyota wa Bongo Flavor, Nasib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na Polisi...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
African Countries With The Most Beautiful Women
0 Reactions
0 Replies
896 Views
kwa anayefahamu SERIES arrow itaendelea kutoka lin?
0 Reactions
1 Replies
991 Views
Rejea kichwa cha habari! Wako wapi wabongoflavor hawa? Raha P Kali P aka Kali popote Dan McMamo Ismael Fatuma (dada wa hard mad) Pauline Zongo Pingu - Deso Dogo Hamidu Mr Paul Mika Mwamba...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa wale wafuatiliaji wa Drama za Kikorea, vipi season ya 5 ya drama hii imekwishatoka?
0 Reactions
39 Replies
10K Views
Wadau mnawakumbuka hawa jamaa ? binafsi nilikuwa nawakubali dizaini kama game wamesanda maana cku hizi siwaskii
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ufunguzi wa ofisi mpya nchini Jamaica unakuja ikiwa hata mwaka mmoja haujapita toka Clouds Media International ilipofungua ofisi zake Abu Dhabi. Mkurugenzi mtendaji wa Clouds Media, Joseph Kusaga...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Waungwana kwa wale wanaofanya kazi za kuajiriwa. Nafikiri majungu kazini tumeshakutana nao. Wimbo huu hunikumbusha mbali hasa pale kwa mzee Ngurumo nipo lindi nachapa kazi, hakuna majungu wala...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifatilia bongo movie kabla na baada ya kufariki kwa msanii alokubalika zaidi ndani na nje ya nchi, kulikuwa na ushindani wa hali ya juu kati ya Steven Kanumba(R.I.P) na Vicent Kigosi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
The night full of drama...this was one hell of an event! Great music by Diamond Platinumz ...great red carpet looks...and of course, enough love drama that got the whole of Mlimani City hall...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Huyu msanii ni kutoka Uganda, video zake zote ni full ngono.kuanzia swiming pool,farm,china,best man na sasa kaachia moja inaitwa sauna hakika weka mbali na watoto,ukikutwa unaitazama ndoa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
South Africa zimetangazwa awards za ma dj bora katika vipengele tofauti, kitu cha ajabu ni kuwa hakuna dj wa bongo hata mmoja. Dj anae shikiria taji kwa Tanzania ni dj MULI B wa clouds fm. Swali...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Her lavish spending habits, jealousy over his ex-girlfriends and disagreements on raising their twins: Inside Mariah Carey and Nick Cannon's marriage breakdown By Eleanor Gower for MailOnline...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hasheem Thabeet traded to 76ers, but will be waived, per report Prior to the deal, Oklahoma City was about $1.4 million below the luxury tax line. That number now stands at nearly $2.7 million...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Msanii bora wa muziki wa Reggae na Ragga Tanzania, DABO amepata nafasi ya kuipeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa, baada ya kuchaguliwa kuwania tuzo kubwa kabisa za muziki za...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimeona sio mbaya kama na mimi leo nikapost changu. Tanzania tuna wasanii wengi mno ila huyu dogo ni zaidi. But ni kwa upande wa RnB. Wadau hebu tumpe sapport click hapa kutazama video yake...
0 Reactions
1 Replies
920 Views
Hip hop inatafsirika au unaweza kuiita ni maisha halisi haijalishi wapi ulipo jinsia yako wala rangi yako. Chimbuko la Hip hop linaweza kufafanuliwa kwa kifupi kama ‘juhudi za wasiojiweza’...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wabongo tunajua sana ku-copy na ku-paste! Ona mifano hii kutoka tasnia mbalimbali, ruksa na wewe kuongezea alie-copy na ku-paste: Daz BABA: Huyu ni memba wa lililokuwa kundi la DAZ Nundaz. Kwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom